Huyo ndie Rais msafi, anahakikisha sheria nifuata mkondo wake. Big up Al-Hassan..a.k.a Mzee wa Ruksa.
Katiba mpya ifute immune kwa Rais!!! Akivurunda tu akiwa madarakani basi akione cha moto. Hii itasaidia kulinda heshima ya nchi pale Rais anapotumia Ikulu kifalme na kujipatia utajiri wa kisiasa na mali!!!!!
Taarifa gani umetoa hapa? Nani ana haja ya kujua gari la Mwinyi limepaki wapi? Watu wanataka kujua anafanya nini au anasema nini kinachohusiana na wananchi. Ndio maana ulipaswa kufuatilia habari kamili ili uweke taarifa iliyoshiba
mkuu ukiondoa kinga yule mgoni anayependa kuchukua wake za watu kila wiki siatakuwa yupo mahakani kweli atapata muda wa kuwatumikia wanainchi?.
Acheni kuleta frustrations zenu hapa na kutaka kuzua zogo lisilo na msingi. Huyu mjumbe katoa tip iliyoshiba na inayojitosheleza ( kwenye uandishi tunasema hii ni kama ame-picth news). Huwezi kuambiwa mtu yupo chooni ukauliza kama anajisaidia au anapika pilau ??? C'mon !!!
Wewe ndiye umekuja na frusturations zako! Hukuiona mwanzoni so sio kosa lako bali insticts zako zimeku-drive crazy
Kuiona mwanzoni nini ? Sisi wewe umemshikia bango Caren kuwa kakurupuka kuleta taarifa na kuwa huna haja ya kujua gari la mwinyi limepaki Kisutu for what ?? Ulifikiri kaenda pale kula ufuta ??
Bado Mjomba na mtoto wa mfalme nao waende kwa pilato
Twasubiri Dec 2015 ifike maana tutsjua mengi na kuwasubiria sana waende kutoa ushahidi au hata kujibu tuhuma zao nyingi sana kwa wakati huo...usimsahau Mamam nae maana yuko active akiwa mwenyewe 'stand alone'sio chini ya kivuli...cha ngao hapana!nae atasimama kama mjasirimali mchumia tumbo
hivi cv yake ya shule inasemaje? Yeye hakubahatika kuwa 'dr' kama huyu wa sasa?
Ilidaiwa kuwa kati ya Januari Mosi, 2011 na Julai 2012 huko Mikocheni , Mzombe akiwa Wakala wa rais huyo mstaafu, alimwibia Sh 17,640,000 ambazo ni pato la kodi ya nyumba yake iliyopo eneo la Mikocheni wilaya ya Kinondoni.
Iliendelea kudai kuwa kiasi hicho cha fedha ambacho Mzombe alimwibia Mwinyi kilikuwa ni kodi ya pango la nyumba namba 481, iliyopo kwenye ploti A huko Mikocheni ya mwaka 2011/2012 na 2012/2013.
Mbali na shtaka hilo, pia anadaiwa kuwa kati ya Januari Mosi, mwaka 2011 na Julai 10, mwaka huu huko Msasani Village wilaya ya Kinondoni, mshtakiwa huyo alimwibia tena rais huyo mstaafu Sh 19,800,000 ambayo ilikuwa ni kodi ya nyumba namba 55 iliyopo kwenye Kitalu C .
.
Nimepewa taarifa na shuhuda kuwa Rais Mwinyi amefuata nyanyo za Rais Mkapa kwa kutinga mahakama ya Kisutu kutoa ushahidi.