Karibuni Kwenye Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere-Jumapili 14 Oktoba-Nkrumah

Ametuachia umaskini usiokuwa na mwisho halafu leo tumuenzi si upuuzi mwingine huu pelekeni facebook huko.
 
mkuu tanganyika lazima irudi ...Tanzania ina chembechembe za Zanzibar
WAo hawakuacha kujiita WAZANZIBARI hata siku moja. Wanajiita WATANZANIA wanaposaka hati za kusafiria tu. Huku bara tutabaki ni WATANZANIA tu.
 
Haya ni majina tu. UKRISTO wenyewe wanauweza basi! Ukristo na Uislaam kazi ngumu sana. Wengi tumebaki majina tu kwa ajili ya utambulisho. Dunia ya leo kumkuta Mkristo au Muislaam wa kweli ni nadra sana.
kweli kabisa midini yenyewe ya watu huko watu huku wanajifanya wanazijua ingekuwa amri yangu futilia mbali
 
nakumbuka Mwinyi ndio alioutafanya watanganyika tuanze kuvaa nguo nzuri na kuacha kupanga foleni za kupigania mchele na unga. Sioni haja ya Kumenzi Mwalimu Nyerere
 
Hivi wakati wa vurugu za Mwembechai ni Mwalimu ndie alikuwa Rais wa JMT?

Mkuu. najua umekosama vizuri ndio ukawa unaruka ruka. Umaskini uliojaa tz ni Ubaguzi wa Mwalimu Nyerere kwa kuandaa watz kwa misingi ya DINI lkn Jukwani hudai anapinga UDINI. Mimi nadhani tunaazimisha Hotuba zake tu na sio VITENDO VYAKE
 
nakumbuka Mwinyi ndio alioutafanya watanganyika tuanze kuvaa nguo nzuri na kuacha kupanga foleni za kupigania mchele na unga. Sioni haja ya Kumenzi Mwalimu Nyerere
Kama mitumba ni nguo nzuri fine! Mwalimu alianzisha viwanda vingi sana vya nguo. Tukavitafuna bila huruma.
 
Kama mitumba ni nguo nzuri fine! Mwalimu alianzisha viwanda vingi sana vya nguo. Tukavitafuna bila huruma.

mkuu. mwalimu alitulisha Dona manjano kwa sababu tu ya Kwenda Kuondoa utawala wa Muislam huko uganda ili kulifanya kanisa katoliki liwe na Nguvu Afrika ya Mashariki. Hadi leo tz imekubwa na Laana ya UMASKINI
 
mkuu. mwalimu alitulisha Dona manjano kwa sababu tu ya Kwenda Kuondoa utawala wa Muislam huko uganda ili kulifanya kanisa katoliki liwe na Nguvu Afrika ya Mashariki. Hadi leo tz imekubwa na Laana ya UMASKINI
Ungejua UKATOLIKI unavyochukiwa kule Uganda usinge-comment hivi! Baadhi yenu mnamwongelea Mwalimu Nyerere kweli? Mnayoyasema juu yake mnayatoa wapi? Kasumba ya ajabu sana hii!
 
WAo hawakuacha kujiita WAZANZIBARI hata siku moja. Wanajiita WATANZANIA wanaposaka hati za kusafiria tu. Huku bara tutabaki ni WATANZANIA tu.

muungano ukivunjika ni Tanganyika ...kumbuka TANZANIA=TANGANYIKA +ZANZIBAR +I(INITIAL YA DINI YA MTUNGA JINA LA MUUNGANO)+A (INITIAL YA JINA LA MTUNGA JINA LA MUUNGANO)
 
Ungejua UKATOLIKI unavyochukiwa kule Uganda usinge-comment hivi! Baadhi yenu mnamwongelea Mwalimu Nyerere kweli? Mnayoyasema juu yake mnayatoa wapi? Kasumba ya ajabu sana hii!

kiardhi cha KAGERA ndio kilichotufanya sisi watz kuwa maskini Daima? Maana tumetumia gharama kubwa na kupoteza maisha ya watu wetu kwenda uganda kwa manufaa ya wachache .
 
Orodha ya wazungumzaji inakatisha tamaa!!

Labda kama ni kongamano la vijana tu..!!
 
Orodha ya wazungumzaji inakatisha tamaa!!

Labda kama ni kongamano la vijana tu..!!
Tupende mabadiliko, tukiwasikiliza akina Dr Lwaitama kila siku hatutapata mawazo mapya. Mimi kwa mfano nilisoma na Ester Wasira ana hoja nzito sana. Nadhani tuwape nafasi na tuanze kulea kizazi kipya kitakachochukua nafasi za akina Prof Issa Shivji
 
Mkuu kitila,naamini umesoma mood ya wana jf km kioo cha kongamano.alikeni wazee watoe za enzi ya mwl ndipo vijana wapate fursa ya ku reflect km wana enenda ya wazazi wao
 
UDASA & ITV

Wanawaletea


Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere


Mada Kuu: 'Nini Jukumu la Kihistoria la Vijana Tanzania katika Kumuenzi Mwalimu Nyerere?

Tarehe: Jumapili 14 Oktoba 2012
Muda: Saa 8.00 mchana hadi Saa 11.30 jioni(2.00pm-5.30pm)
Ukumbi: Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Wazungumzaji Wakuu

1. Ndugu Deus Kibamba
2. Mheshimiwa Jerry Silaa
3. Ndugu Esther Wasira
4. Dk Vincesia Shule


Wote Mnakaribishwa
Ndugu jaribuni kurusha hata kwenye Tv mojawapo ila hat sisi wa huku mikoani tuweze kucheki kama itawezekana.
 
Back
Top Bottom