Recent content by BAGUNYA

  1. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutengeneza You Tube channel

    Watu ni wachoyo hawapendi mafanikio ya wengine ila huyu mwamba amejitolea na heshima kwake na walio kama yeye wabarikiwe sana
  2. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Wamiliki jengo lililoporomoka Kariakoo wafikishwa Mahakamani Kisutu

    Wakati mwingine mtenda kosa huwekwa ndani kwa usalama wake nadhani ndio hawo sasa
  3. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS

    Na huko NYASH sasa ni zaidi ya tigo
  4. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Upi mtazamo wako kukithiri kwa mada zinazochochea chuki za kidini jukwaani

    Kobaz mbona mashaka na mtu hata mtoto wa mama kama wewe mguu wako ukipitishwa inakubali any way nasubiri kuona povu
  5. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

    Hii Imetosha kwa atakaye kuwa mweledi
  6. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na hii ufanano wa Rais Samia na Makamu wa Rais Kamala

    Wameacha kuandika mwanasheria msomi 😂😂😂
  7. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

    Hapana taifa teule Israel ni Amerika jimbo la mashariki ya kati.
  8. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Kama una ujuzi wowote wa "dawa za asili" pitia hapa

    Ufafanuzi tafadhali wahanga ni wengi
  9. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Ukiona BBC hawatoi tena habari za vita vya Urusi na Ukraine tambua Ukraine anachezea kichapo

    Siyo kushindwa tu bali pia watalegea
  10. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

    Hapo sasa ndio tunajenga upinzani wa kweli hutosikia kauli zile "NARUDI NYUMBANI"
  11. BAGUNYA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana wa umri mdogo kujihusisha kimapenzi na watu wazima chanzo ni nini?

    Mwenyewe nakatafuta kamoja kapotable hapa 😂😂😂
  12. BAGUNYA

    JamiiForums Tanzania SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

    Panya road in Zanzibar from Tanganyika ni hivyo tu
Back
Top Bottom