Ahsante mkuu kwa kupigilia msumali, ss je hali itakuaje kwa mwaka huu kwa tuliomalza 2016? Kunapossibilities kwl za kupata kw kuambatanisha transcpt?
ⓑⓐⓓⓨ
Mkuu izo kaz za kupata kw dploma ndo mtihan unapokuja, kuna baadh ya facult dploma utasota asee alf hyo case ya yatima au coz cdhani kama waliizngatia yan wapo mie nnaowafaham zaid ya 20 walpgwa chn sa cjui kp klzngatiwa apo
ⓑⓐⓓⓨ
Habari wakuu, mwaka jana wanafunzi wenyesifa ya diploma kujiunga na elimu ya juu walikosa mkopo ila haikufahamika kwa kigezo gani, sas nmeleta uzi huu kwa yeyote mwenye taarfa sahihi kuhusu mwaka huu itakuaje atujuze tafadhali naona kam taifa la wasomi linaanza kushindikana iv kwa watoto wa...
Aaah wap co kwa mwanamke ambae tyr kaonja ladha ya ule mchezo, alf mmefahamiana mpk mje kuoana kama miaka miwl iv kutokana hal ya maisha ss unatak nambia hapo kat lktokea lakutokea cndo kudharaulka uko
ⓑⓐⓓⓨ
Nkkmkuta na usichana wake bado na akkakidh vgezo vya kua mwanamke wa maisha yng naye akaniridhia aaah kusubir mbn n jambo dogo san, hof kubwa tulyokua nayo wanaume n nkmuacha atanichukuliaje lbd cpg mech au vp ndo mana inakuaga ngum kdg
ⓑⓐⓓⓨ
Wakuu mm n graduate wa dploma ya electronics n telecom pale dit nko familier na simu matitizo ya software kwny upande wa cm hasa hasa hz smartfone n nmekua nkreceive cm za watu wenyemattzo hapo mtaan kwetu and i was able to solve them lkn kwa ujanja ujanja yan cna zle mbn zenyew sa naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.