Mbowe huwa na kuunga mkono kwa busara zako,lakini kwa kauli yako ya kuhusu Dreva wa Lisu umeniangusha,swali dogo,Mh.akipona na kuruhusiwa vp Dreva hatorudi Tz?
Kiki kwa pikipiki,wao wanafikiri mkulu anategemea umbea kumtoa mkuu wa mkoa,mbinu zao za kuwachafua wateule wake anazijua vizuri,Gambo na Mbyeti kazeni buti wabaneni mpaka wakose pakutokea
Kitaeleweka tu,Dreva wa malehemu Chacha Wangwe walimkana mara oh hajui kuendesha mara hakuwa dreva wake,tuwe na akiba ya maneno
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wameishiwa sera kilichobaki ni kusubiria mtu kasema nini,Mwinyi hajakosea Kutoa maoni yake
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Lisu alikuwa anajpigia debe ili kesi zitakapokwenda mahakamani ndo awe wakili wa kutetea wanyonyaji,mnaomsujudia Lisu ndo mjue alivyo na tabia za kinyonga
Shukrani ya punda mara nyingi huwa ni mateke,haya anayoyafanya Magufuli mmwyapigia. Kelele muda mrefu sana,kaanza kuyafumua mnamuita mwanaharakati![emoji125] [emoji109]
Kondoo wa Gwajima jitatafakalini,badala ya kuubilia Bwana Mungu wetu mnaubiliwa Bashite iwasaidie nini na nyie mnamshangilia mchunga kondoo! Tanzania ni nchi ya ajabu sana tunashughulishwa na vitu visivyokuwa na faida tunaacha vyenye tija
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.