Huu ni mwisho wa CCM, maana hata wenyewe yanawageuka mauzauza yao ndio hali inakuwa hivi. Ulisikia wapi jimbo moja wabunge wawili tena kijinsi! Hii ni hatari sana, Tz angalieni CCM inakotupeleka jamani, maamuzi ni yetu!
Cheki mipango yako, maana hayo hayakuhusu, ila fanya mikakati ya kumjuza kiaina. Hasa mjuze aje home kwa usiri ili aje ajionee mwenyewe! Pia kuhama ni busara mno. wakati upo huko ulikohamia ndio michakato ya kumpa mbinu kaka yako ya kumfumania mkewe uifanye. Ili ionekane mchezo huo kaanza baada...
Huu ndio ukweli! asilimia 80% za hufungwa wakati mimba ina miezi zaidi ya mitatu, 18% wakati wana watoto tayari na 2% wakati wamekaa pamoja kama mume na mke kwa zaidi ya miaka mitatu. Kwa takwimu hizi 0% ndio ndoa sahihi, sasa kuna haja gani ya kwenda kanisani! Mbaya zaidi hata harnmoon hakunaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.