Madam president yupo very stable mkuu na anaheshimika sana unafikiri kwanini anasafiri na kurudi nyumbani mda wowote?
Kagame kuja Tanzania tuu halali.
Rais Samia labda yeye mwenyewe aamue kuwa sigombei tena uraisi 2025 na atuchagulie mtu mwingine yeyote amuachie kiti. Ila vijana wanatamaa...
Jana mtandao wa wikileaks uliachia baadhi ya taarifa za siri kuhusiana na watu maarufu pamoja na Nchi mbalimbali.
Mwanzilishi wa kampuni ya apple marehemu Steve Jobs alikufa kwa ukimwi. Mimi ndio maana nikiona mwanamke anatumia iPhones sina muda nae wala simtongozi.
Taarifa za siri za serikali...
Hiyo tatoo nyuma ya makalio ilitosha kukwambia stop.
Ila hongera sana umepokea mkoba ishi nao kwa matumaini. Na hapo kinondoni hama mtaa kwani tayari ushaunganishwa kwenye gridi ogopa sana mtu anakujua unakaa wapi halafu wewe hujui pa kumpata.
Somo nililopata hapo ni kwamba usipende...
Kwa mimi namjua chongolo personally ni mtu wa mamlaka nakumbuka kipindi chongolo ni DC wa Kinondoni nilikuwa naonana nae kuhusiana na maswala ya usuluhishi wa migogoro flani. Ila sikuwahi kuona kwamba ni mtu mwenye haiba ya chini.
Kama zile chat za whatsapp ni za kwake kweli ila na yeye ni...
Baada ya kufika dar mara ya kwanza niliendaga kinondoni manyanya pale sitaji mtaa ila baada ya kuona ofisi ilivyo nikasema bora ccm waendelee tuu kwa kweli
Mkuu linganisha Tanzania na malawi alafu uniambie tajiri ni nani. Wewe unadhani wachina wanapiga hela wakiwa pale china au wakiwa Nchi maskini za hapa Afrika? Hizo ni oportiunity ambazo watanzania wenye pesa wanatakiwa wazichangamkie kabla malawi hajawa na akili twende kule tukateke mashamba na...
Mkuu moja ya kuwa Nchi tajiri ni kwenda kuwekeza kwenye Nchi masikini. Hilo ni jambo zuri sana na ni hatua kwa wafanya biashara na wafanyakazi wa Tanzania. Hapo lazima management itatoka Tanzania na cheap labour itatoka malawi.
Pia bei ya mafuta itapungua. Ingekuwa ni benki ya crdb imefungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.