Recent content by Badili Mtazamo

  1. B

    Serikali yule mhudumu wa SGR mpasua wake uanhaliwe

    Ingependeza tungepata japo picha ya mpasuo huo huku ukificha sura Naunga mkono hoja, mpasuo uangaliwe
  2. B

    DOKEZO Responded Vilio vya Wastaafu wa majeshi vitatuliwe haraka, kinachoendelea ipo siku kitatengeneza ‘matunda yasiyofaa’

    CCM imeharibu sana mfumo wa utawala bora na uwajibikaji ndiyo maana hivi vikokotoo hakuna wa kuwasaidia wastaafu hadi labda mkuu wa nchi ajisikie kuwa imetosha sasa na wakiondoe... Tanzania inahitaji kura yako ili iweze kubadilika kutoka kwenye kuporomoka kuelekea kwenye kukua
  3. B

    Naomba turuhusiwe kutumia VPN wakati wa hili janga la Internet

    Ukiona hawaruhusu matumizi ya VPN kwenye tatizo kubwa kama hili, basi elewa kuwa kuna issues behind huu mziki unaoendelea
  4. B

    Matatizo ya Mkongo wa Taifa ni funzo kubwa la kiusalama!

    Mkuu Ipo hivii, pesa nyingi inaenda kustawisha tawala ya CCM hususan kununua mitambo ya kuhack mawasiliano ya Watanzania badala ya kuwekeza kwenye tafiti na majaribio ya sayansi za mawasiliano. Tuendelee kufanya uchawa kuwafurahisha watawala na Idara huku magoli yakiwa wazi.
  5. B

    Hivi Mshauri wa Saikolojia na Ndoa za watu nchini Tanzania Dkt. Mauki ndiyo kusema yeye ni Malaika na hakumbani na kero zitupatazo?

    Tunamnanga mtu hapa... Mie huwa nakwepa sana masomo yake kwa sababu hayana impact zaidi ya kumuingizia yeye siku
  6. B

    Mambo Matatu yatakayokuacha kinywa wazi nchini Tanzania

    Gurudumu la kusagia ngano linazunguka kwa kuongeza kasi kubwa
  7. B

    Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu aonywa kujiepusha na shughuli 'zinazovutia mikusanyio ya watu'

    Kwanza nataka nifahamu huo uchadema wangu upoje upoje? Mimi ni Mtanzania natumia uhuru wangu wa kikatiba kuzungumza chochote ilimradi sivunji sheria za nchi. Unapoamua kutumia kichaka cha ubaguzi ili kujificha kwa kudhani ndiyo majibu ya matatizo yako ni kujiongezea aibu na kujiumbua upumbavu...
  8. B

    Hamas watekeleza ahadi yao kuwa uvamizi wa Rafah hautakuwa kama piknik kwa jeshi la Israel

    Hivi mpaka kila upande uwaue watu wangapi ndipo wasimamishe hii vita ya kihayawani?
  9. B

    Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu aonywa kujiepusha na shughuli 'zinazovutia mikusanyio ya watu'

    Siyo kila anayekosoa ni CHADEMA. Jaribu kujenga hoja bila kujifanya kihoja. Tunazungumzia the failling state chini ya watawala na siyo unelected fellows. Tuoneshe kiweledi wapi CHADEMA aliwahi kupewa ushindi halali wakaongoza zaidi ya kuporwa ushindi na kibaya zaidi hata mikoa waliyopata...
  10. B

    Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu aonywa kujiepusha na shughuli 'zinazovutia mikusanyio ya watu'

    Nimeshakujibu mkuu. CHADEMA imenadi sera zake kila uchaguzi mkuu unapowadia na pia kwa kuwa nchi ipo mikononi mwa rais siyo rahisi kunadi sera za chama kingine baada ya uchaguzi. Lakini sera zipo ni vile una uvivu wa kufikiri ndo maana unajaribu kuleta utoto mitandaoni.
  11. B

    PreGE2025 Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 bila Katiba mpya ni mwendelezo wa kuchafua uchaguzi kama 2019

    Wakuu habari za wakati. Tunakumbuka yaliyotokea mwaka 2029 kwenye mchakato mzima wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Watendaji ngazi ya mitaa na vijiji walielekezwa kuweka vikwazo kwa wagombea wasiotokana na CC kwa nafasi zote. Wakurugenzi wa Halmashauri walishirikiana na...
  12. B

    Anahitajika paka mdogo ofa 35,000 nipo Dar es Salaam

    Mkuu nitakutafutia kama ukimpata kabla ya wiki kuisha utujulishe hapa
  13. B

    Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu aonywa kujiepusha na shughuli 'zinazovutia mikusanyio ya watu'

    Unashindanaaa lakini mwishowe utashindwa Inawezekana usiione sera ya uchumi ya CHADEMA kwenye mitandao, lakini miaka yote wanapoingia kwenye michakato ya uchaguzi mkuu wanauza sera yao ambayo kiuhakika ina mchango chanya kwenye uchumi wetu. kama siyo CCM kuiba kura tungekuwa mbali sana kupitia...
Back
Top Bottom