Jamani kama kuna mtu anajua Utaratibu wa kufanya transfer chuo kimoja kwenda kingne mana kuna rafiki angu kapata UDOM lakn alikua anataka kuja SUA upoje Utaratibu wake na vp inaezekana hilo la kwanza jambo la pili kwa anaefaham semister ya kwanza kwa mwaka wa kwanza gharama zake zipoje kuanzia...
Jamani kwa wale wa sua ambao mmekua admitted kwa mwaka wa masomo 2017/2018 au ambao wanaendelea naomba kuuliza eti semister ya kwanza gharama zipoje yan ada na mengneyo msaada tafadhalin ndugu mana hata sielew tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.