Ukiwasha hazard weng hatuelew ila unawez ukawachanganya maderev wa pande zote mbili anayetokea chin anawez akhc untk kukat kuja kwake maan taa y pil anawez asiione kutokn n upande anaotok n n vlevle kw anaetokea upande mwngne wa juu.......cha kuzngtia n kwamba unapofik njia panda ucwashe taa...
Kw ufahamu wangu mmi pik pik yoyte ile inayoitoa mwenyew dkn n unaanza kuitumia n imara tatizo n shida ni kweny matunzo 2 bhc kun wat wan mikono mibaya hat kw matumiz yao bnfc pik pik ina miez 3 km vle ina miak 3.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.