Sihitaji kulipwa kwani hakuna awezaye lipa malezi na upendo wangu kwa mwanangu.ajaribu kuninyanganya huyu mwanangu aone,niko radhi kwa lolote kwa ajili ya mwanangu.
Hata mimi nina ajira yangu,so naweza mlea vizuri tu.nimemnyonyesha bila choxhote kwa miezi 6 ,wadhani bila lishe ya uhakika ni mwanamke gani anaweza nyonyesha mtoto exclusive kwa miezi sita hapa mjini?
Sijakataa,wala sijawahi mnyima kumwona mwanae ingawa yeye mwenyewe ndio huwa hajishughulishi kumwona mwanaye.Na sina mpango wa mtoto kutomjua baba yake,tatizo ananitishia kumchukua mwanangu niliyembeba kwa uchungu miezi 9.
Habari za mchana,
Nimezaa na kijana mmoja ambaye alinitelekeza toka niko mjamzito.Nilimove on na maisha yangu nikalea mimba haadi mtoto akazaliwa,hajawahi hudumia huyu mtoto tangu mimba hadi leo ana mwaka sasa.
Siwajui ndugu zake na wala kwao haijulikani kama hata ana mtoto kwani hajawahi hata...
S
Siwezi mwambia baby wa sasa,najua ataumia sana,kwani amefanya kazi kubwa sana kunirudishia furaha yangu.Huenda akachukia wanawake for the rest of his life,and i can't live with that.
Natamani nimpe mtoto but siwezi huyu mtoto ni kama roho yangu.
Watz mlioko Jf punguzeni kuwa fake,mnaumiza watu kwa maneno yenu,nobody is perfect,sisi ni binadamu tu.Afu pia mods sijapenda kubadilisha title ya thread yangu mmenipa kazi sana leo kuisearch.
Wrong hata hajanigusa.bt can you imagine anamtumia mamake sasa kuniwin over,dah you men are a piece of works.
Hapana,ndo karudi na anataka ndoa kabisa,mamake ndo anamsaidia kunisoften
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.