Recent content by baby debby

  1. B

    Unajua Mungu aliumbwa na nani?

    Kwa mimi nadhani Mungu ni jina tuu wanadam wamelitengeneza katika kutafuta uwepo wa nguvu ya ulimwengu isiyoelezeka. Lakini hiyo nguvu iko ndani ya kila mtu na ndo mana hatufi, ila huu mwili wa nje una expire tuu. Mafanikio yote unayoyaona ni wewe mwenyewe umejipatia kwa sabab una nguvu ndani...
  2. B

    Waafrika tufumbuke!

    Mimi nadhani kabla ya wazungu waafrika tulikuwa na namna zetu za kuishi hata kama hakukuwa na teknolojia lakini mambo yalikuwa yanaenda na watu walikuwa wanaomba na wanajibiwa. Lazima tujiulize kwa nini hakuna historia za maisha ya mababu zetu, kwa nini zimefunikwa, tunasikia tuu stori za...
  3. B

    Tukitaka tuitokomeze Ushoga basi tuukatae ufeminist

    Asante. Yan wala havihusini. Wanatafuta pa kulaumu wamekosa, wakaamua waongelee wanawake. Kwamba mwanamke akitaka haki sawa ndo vinyeo vya wanaume vinapata muwasho!
  4. B

    Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

    Naomba mtu anisaidie kwenye ishu ya usajili kampuni, kule mwishoni kwenye share capital kumenishinda jinsi ya kujaza
  5. B

    Wanawake kuweni wasafi

    Ni kweli kuna wanawake wachafu, lakini sababu kubwa ya magonjwa ya wanawake sehem za siri ni wanaume wao, unakuta mwanaume anatoka na magonjwa tofauti kutoka kwa wanawake tofauti analeta nyumban, na kwa wanawake magonjwa ya sehem za siri yanaonekana haraka kuliko kwa wanaume
  6. B

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Ukute watu washaanza kazi, sisi tunasubiri mkeka tuu 😃
  7. B

    Ganzi ya kung'oa jino!!

    Hata mimi ndo nnachopitia. Nilitolewa jino ambalo liligoma kuota, nna ganzi mpk leo na ni wiki 3, kwenye kuuliza ni kwamba walichokonoa nerve ya usoni ndo mana pana ganzi lakin panaweza kupona penyewe baada ya miez m3 hadi6
  8. B

    Wanawake kuweni wasafi

    Khaa wewe, haukufa kweli 🤣🤣🤣
  9. B

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Nadhani watu wanasubiri matokeo yao wajue kama wanaingia oral ama la 😀
  10. B

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    Yani mtu achome nauli yake alafu asifanye mtihani kisa mvua
Back
Top Bottom