Recent content by baby boy17

  1. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huu mwandiko unatia mashaka sana. Especially sentensi ya mwisho
  2. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nashindwa kumsahau mpenzi wangu wa zamani, moyo bado wamuhitaji

    Kama hauna chemistry weka catalyst itakubali tuu
  3. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti wa Kireno kaondoka na akili zangu kwenye foleni ya chakula cha bure Jijini Geneva (Switzerland)

    Ayaaaaa ishatoka kwenya masikhara Sent using Jamii Forums mobile app
  4. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna wimbo kaimba jamaa flani nadhani alimshirikisa A.Y. Kiitikio wanaimba hivi "Sikikiza wimboooo na historia nakumbuka maisha ya zamani na historia ......." Mwenye kuufahamu anisaidie tafadhali
  5. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    Mwanamke akishazalishwa anakua anajituma Sana kwenye mapenzi. Sijui hata kwa Nini.
  6. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitaisahau hii siku

    Story nimeielewa. Ila dhumuni la story sijalielewa.
  7. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nisaidieni nahisi nina ngoma

    Hapo sio ukimwi. Utakua umerogwa[emoji6]
  8. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikifanya maamuzi haya kwa Wapenzi wangu wawili nitakuwa nawaongezea ' Ushindani ' au ' nitaharibu ' kabisa?

    Mkuu unayajua ma..pumbu.???
  9. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kweli mapenzi yana nguvu

    Ukiona mapenzi yanakupa tabu achana nayo fanya mambo mengine.
  10. baby boy17

    JamiiForums Tanzania Aliyekudhuru ndo akuhudumie?

    kila nikisoma signature yako huwa nabaki na maswali lukuki.
  11. baby boy17

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Vifungashio vya plastic.

    ubungo mkuu
  12. baby boy17

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Vifungashio vya plastic.

    tutakusaidia jinsi ya kuprint
  13. baby boy17

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Vifungashio vya plastic.

    Tunauza vifungashio vya plastic vilivyo bora kabisa na kwa bei nafuu. Vifungashio tulivyonavyo kwa kiitaalamu vinaitwa plastic zip bag. Vipo vya ujazo tofauti kama inavyoonekana hapo chini na bei yake tumeambatanisha. 1Kg = bei Tsh 580/= @ bag Nusu kilo = bei Tsh 350/= @ bag 140g = bei Tsh...
  14. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania My future wife

    hahahaha simple and clear sema unatafuta mchumba
  15. baby boy17

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani anastahili msaada wa kwanza hapa?

    hesabu rahisi sanaaaaa chukua kiasi chako cha fedha gawanya Kwa mbili jibu utakalopata ndicho unachotakiwa kupeleka Kwa make na mama
Back
Top Bottom