Habari naomba kuuliza makadirio ya ujenzi wa uzio wa kawaida tu wa matofali kwenye eneo lenye urefu mita 120 na upana mita 80 inaweza kutumia matofali mangapi? Nataka nianze kukusanya tofali mdogomdogo
Habari wadau. Nahitaji kupanda michongoma kama fensi kuzunguka eneo langu la kama ekari moja na nusu hivi.
Eneo liko mlandizi kama kuna mtu ana mbegu au miche naomba tuwasuliane pia naomba maoni ya namna Bora ya kupanda hii kama fensi.
Pia kama kuna mtu anajihusisha na haya mambo yuko tayari...
Habari wadau,
Naomba kama kuna anayefahamu namna ninaweza kupata mizinga ya kufugia nyuki. Kwa ajili ya kuweka shambani kwangu. Ninahitaji michache kama mitano hivi.
Mimi nipo Dar es Salaam Ila nataka kuiweka Mlandizi.
Tafadhali Kwa anayejua wapi naweza kupata naomba msaada.
Asanteni sana.
Wakuu Habari,
Wapi naweza pata duka linalouza vile vitabu vikubwa vya kuandikia Risiti za mkono kwa hapa Dar?.
Nataka kuanza biashara ndogo nahitaji hivi vitabu kwa ajili ya Risiti na kumbukumbu msaada anayejua upatikanaji.
Ndugu habari zenu
Ninataka kufanya biashara ya kuuza gesi ya kupikia majumbani. Yaani kama Oryx, Taiga etc. Ninapotaka kuuzia ni Manzese.
Naomba ushauri wenu juu ya namna ya kupata huo uwakala, pili nahitaji kuwa na mtaji kiasi gani Kwa kuanzia (frame ipo) na mambo gani napaswa kuzingatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.