Recent content by Babu sea

  1. Babu sea

    Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?

    Jamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba. Msaada wenu please..
  2. Babu sea

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Truly Americans has something to think.
  3. Babu sea

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ka google mwenyewe yaani unataka nikutafunie kila kitu kwani wewe njiwa.
  4. Babu sea

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kama Uktain anateknolojia kuzidi Russia kwanini asirudishe Donbass,Kherson na zaparozye
  5. Babu sea

    Walio single wote hawana furaha 100%

    Nilicho jifunza toka kwa mtoa mada ni kuwa mapenzi sio pesa peke yake ila pesa inacheza nafasi kubwa kuleta furaha katika mapenzi..kiukweli mtoa mada umeniacha njia panda.
  6. Babu sea

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ukrain apake tu mafuta na kuinjoy show maana hakuna jins.
  7. Babu sea

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kuna ule msemo if i can not hit the moon i can shot the stars according to Ukraine.
  8. Babu sea

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kama ndio hivyo Kwanini Ukrain mpaka leo anashindwa kurudisha Lugansky na donestic mikononi mwake?
  9. Babu sea

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Lakini Ngoja nikuulize swali...Kwanini Ukraine inashindwa kurudisha maeneo iliyoyapoteza mpaka leo?
  10. Babu sea

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kubwa kuliko wa ukraine waanadakwa kama panzi..
Back
Top Bottom