Jamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.
Msaada wenu please..
Nilicho jifunza toka kwa mtoa mada ni kuwa mapenzi sio pesa peke yake ila pesa inacheza nafasi kubwa kuleta furaha katika mapenzi..kiukweli mtoa mada umeniacha njia panda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.