Habari jf, kama kuna mtu yoyote aliyopo mwanza mwenye diploma au degree ya procurement &supply na uzoefu wa 1yr kuna nafac ya kazi, ani pm nimpe maelekezo, urgent
No deadline ilikuwa tar 25 jan na interview tumepiga leo,jamaa wako smart sn katika zoezi zima la usaili, angalizo jamani mkiitwa kwenye interview kama huwezi udhuria muwe mnatoa taarifa,tumejikuta tupo wachache sn tofauti na shortlist
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.