Si tuliambiwa Israel ilishambulia ubalozi ili Iran ijae kwenye mfumo...
Na Iran akajaa kwakushambulia ndani ya Israel. Maneno yakawa mengi kuwa sasa Iran anachapwa, mbona mnageuka tena?
Tena mnageuka mkiwa wanyoongee😂😂
Washabiki wa ushoga duniani wameaibika kweli.
Kulikuwa na kwaya zinaimbwa humi"Iran anachokozwa ili ajibu apigwe"
"Iran kajaa kwenye mfumo"
Hivi huko kwenu mnasikia tena nyimbo hizo?
Mashoga wamekuja na wimbo mpya "makombora hayakuleta madhara, yanini Israeli ijibu" "watu wanaangalia uchumi bwana"
Mbona inatumika nguvu kubwa kuonesha hakuna demages?
Huku miungu wa Israeli (Uingereza na Marekani) wakiiomba Israeli isilipize?
Huyo Israeli mwenyewe akiomba Iran awekewe vikwazo zaidi hasa upande wa uundaji makombora, halafu hakuna madhara yaliyotokea!!!
Inahitajika akili za ki zumaridi...
Nguvu kubwa inayotumika kuonesha hakuna madhara makubwa yaliyotokea,ni dalili ya kuficha aibu ya mataifa nane makubwa kufeli kuzuia makombora ya Iran.
Pia wale mayahudi wa kupaka wa humi JF kuficha aibu yao kwa madai yao kuwa Mayahudi hawagusiki
Waliambiwa hilo ni taifa la Mungu. Linalindwa na mungu.
Unadhani watawaambia nini waumini wao waliodanganya miaka yote hiyo!?
Mungu asieiweza hata Iran!!?
Ndio tumejua sasa kumbe wanaposema taifa la Mungu. Taifa teule kumbe wanakusudia Mungu mwenyewe ni Marekani. Na ndie aliewateuaa!!
1. Uislamu una taratibu zake.
2. Dhambi kwenye uislamu Zina madaraja tofauti.
3. Kuwa muislamu ni kuwa na shahada mbili. Kwa maana yake halisi. Kwamba jambo lolote la ibada hutamfanyia mwingine yeyote ispokuwa Allaah. Na lazima uamini Muhammad ni mja na mtume wa Allaah. Si mwana wa Allaah wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.