Recent content by babu mandonga

  1. B

    Bank ya NMB tawi la Mbezi Beach ina shida gani?

    Tunashkuru kwa taarifa 🤔ila bora niwacheleweshe kuliko kujiaminisha pesa zimetimia😅
  2. B

    Kibatala azungumzia kukamatwa ofisa TRC aliyepinga tozo

    sijaisoma yote il Kibatala anaweza akaupiga mwingi 😂😂
  3. B

    Wakulungwa hebu nisaidieni nijue hapa kuna nini kinaendelea

    ni kwenye vikao muhimu tu au mpaka kwa demu wako ili tujue shida iko wapi🤔
  4. B

    Marekani nchi tajiri ,lakini sensa yao inasema kuna masikini milioni 48!

    maskini wa marekani utawafananisha na wa kwetu kweli?🤔😲
  5. B

    Hii sensa inatutoa jasho kwakweli!

    kikubwa tu wanibahatishe nikitoka home pasi na hapo watajihesabu wenyewe
  6. B

    Maswali 100 ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022

    hao makarani watembee na polisi maana kuna maswali yamekaaa kimchongo ili makarani wapigwe kama hilo swali la 3z😅😅😅
  7. B

    Nyumbu 20 waangushwa kuwanasa Wahadzabe kuhesabiwa

    kazi iendelee Mtatukuta Burundi😁
  8. B

    Ruhusuni Kilimo cha Bangi mpunguze makali kwa wananchi maskini

    hahah hahahhaha hutaki kuelewa la mtu
  9. B

    Ruhusuni Kilimo cha Bangi mpunguze makali kwa wananchi maskini

    safi kilimo cha bangi na mirungi kitawakwamua wengi kwa kweli
  10. B

    Onesha Ushirikiano kwa Makarani wa Sensa

    ingependeza kama wangeuliza😂😂
Back
Top Bottom