Wakulungwa hebu nisaidieni nijue hapa kuna nini kinaendelea

Chief Kumbyambya

JF-Expert Member
Jun 16, 2022
490
1,460
Nawasalimu wote kwa jina la upendo wa dhati.

Ebwana mimi kuna kitu nimekinot kwangu na kwa muda mrefu nikajua hali itakaa sawa tu mbeleni ila sasa naona hebu niwashirikishe na wadau humu ili kama kuna mtaalam yeyote anaweza akanieleza hali hii husababishwa na nini……..!!!!!!

Ni hivi….. nikiwa kwenye mazungumzo yale yasiyo rasmi mfano vijiweni ama kwenye umati wowote wenye mazungumzo ambayo mtu yeyote anaweza akaongea vyovyote vile huko nipo vizuri sana.

Mfano ubishani unapozuka katika vyombo vya usafiri iwe basi ama kosta mimi ni muanzisha mada mzuri sana na pia hata mada nikiikuta wanajadili sehemu barabarani na kuna watu wengi nikisikia tu wanachojadili lazima niingilie kati tena kwa hoja nzito na ubishani mkali sana kiasi kwamba mpaka niliowakuta mada ikiisha lazima waniambia “aisee bora umetusaidia bwana maana walitaka kutudanganya hawa”.

Na hao watu nakuwa wala siwajui na hawanijui ila nimevamia tu mada na kufanikiwa kuwateka wasikilizaji (yaani nakuwa na makomfidensi ya kufa mtu).

Shida sasa inakuja kwenye yale mazungumzo ambayo yanahitaji mpangilio wa kuongea eidha unakuta ni vikao vya kiofisini au kwenye vikao flani muhimu….. yaani labda inapangwa kabisa ataongea flani… akitoka flani atachangia flani kisha akitoka huyo flani bwana chief kumbyambya itakuwa zamu yako….

Unakuta wametangulia kuongea waliotangulia na tumewasikiliza vizuri kisha kile kile kitendo tu cha kijua sasa ni zamu yangu ya kuongea ndiyo inafuata.. hapo hapo ndiyo naanza kuvibrate sasa…

Yaaani naongea kwa hofu… pumzi inakuwa kama inabana hivyo kupelekea sauti itoke kama ya kutetemeka hivi…. Kwa mtu mwelewa akiwepo eneo hilo anajua tu huyu kijana ana hofu kubwa sana na hajazoea kuongea mbele za watu ndiyo maana anapata shida hivi wakati sio kweli….. mimi nikiwa uraiani huko naweza kuongea na watu hata mia tatu siwajui na hawanijui tena kwa confidence ya hali ya juu mno mpaka najishangaa inakuwaje hapa!!!?

Sasa wadau swali langu…..……

Ni kwanini nakuwa vizuri katika mazungumzo yale yasiyo rasmi…. yaani mtu flani anaongea alafu akishamaliza tu mimi nikidakia bila kuchaguliwa nakuwa na comfidence moja matata sana mpaka utasema hakika huyu kijana ni toleo jipya la Malcolm X.

Hata watu wawe mia tatu nitashusha nondo matata sana na wote wanatulia kusikiliza na wanakubali.

Ila yale mazungumzo ya mpangilio wa uongeaji kwa kufuata zamu kama niliyoyaeleza kule juu nakuwa vibaya utafikiri sio mimi.

Hapo kitaalamu kuna nini. Ama natakiwa kurekebisha nini?

Naamini humu kuna wajuvi wa mambo.
 
Hujiamini na unajishtukia.
Na pia huna Uzoefu wa kuzungumza vikao rasmi, wakat wa kupiga soga unao.

Kama vile mwanafunz anayejua majibu Ila anaogopa kunyoosha kidole ajibu Ila ukimwekea karatas aandike, anapatia.

Mazungumzo yasiyo rasmi hujishtukii kwasababu akili inaona kabisa kuwa sio rasmi , mtu asikilize au asisikilize.

Mazungumzo rasmi unajishtukia kuwa lazima wanaosikiliza , wanatega sikio wakusikie.

Na hapo ndio tatizo lako.

Hali hii ukitaka itoke, wakat wakuongea mazungumzo rasmi, Basi Anza na tone ya kawaida na iwe taratibu , na uwe unaweka vituo.(ukiongea haraka haraka , ushaharibu ).

Niliwah kuwa Kiongozi wa watu kama 30 hiv , kwa miaka 3 na nilianza na Hali ilikuwa Kama ya kwako.
Ila ilipona baada ya miez 3 hiv na pia nilizoea na nikawa na style ya kuongea taratibu na kwa vituo.

Mfano. " Habarin za asubuh. Leo tuuuuuna ishu blah blah blah. Saaaasa. Tunahitaji.... Mtu afanye blah blah blah. "
 
Tatizo hilo ninalo pia, zaidi mimi huwa najikuta nakasirika ovyo katikati ya mazungumzo yale rasmi inapotokea mtu akanipinga au kunisahihisha, hata ninapoangalia hadhira huwa nahisi kama hawanielewi au hawaipi uzito hoja yangu lakin cha ajabu mwisho wa mjadala mimi huwa mshindi, yaani hoja yangu huwa inahitimisha mjadala, nilimuuliza mtu mmoja mzoefu kwenye issue hizo za public speaking akaniuliza swali moja, "je unatumia kilevi chochote?" nikajibu ndiyo, a kaniambia hiyo yaweza kuwa sababu, japo pia back ground ya maisha yako ina play major part ya wewe kuwa na lack of confidence na kukosea self esteem, akanishauri ninapotaka kuzungumza nyakati kama hizo kwanza nianze na low tone, nisiyape uzito mkubwa yale ninayo taka kuongea, nijitahidi ku relax kwa kujiambia everything is OK, tafuna gum kama big g au ball gum ita saidia kupunguza palpitations, jaribu na naamini itasaidia, mimi imenisaidia pia, pia njia nyingine japo haitafaa wakat wote ni kuongea kile unachokusudia kukiongea na wenzako kabla ya kikao, wakiufurahia mchango wako nje basi amini hata utakapofika wakat wa wewe kuongea kikaoni utakuwa na confidence ya kutosha, asante

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
1. Umekulia uswahilini,watu waliokulia uswahilini ndio zao
2. Umesoma kayumba,shule za kayumba hazijengi confidence
3. Baba yako alikuwa mkali sana wakati unakua hivyo kujenga nidhamu ya woga
Waliokulia uswazi hawanaga woga wala aibu, kuna rafiki yangu mswahili swahili hivi, shule kasoma kayumba na hata hakufikisha nusu, ila kwenye vikao huwa ananyoosha kidole hadi mwenyekiti anamkoromea, hajali anaongea nini, anaweza akachomeka humo maneno ya kiingereza ambayo hayapo dunia hii, najikuta najisikia aibu mimi huku yeye walaa hajali, ndiyo kwanza ananyoosha kidole juu zaidi ili apewe nafasi ingine ya kuongea utumbo mwingine, inabidi kama nipo karibu naye nimminye mguu, "kaushia mwana" anakuambia "achana na mimi".

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Eeeh ya kwako tofauti kidogo.

Sasa, imagine una ishu umepewa uzungumze mbele ya watu. Au hata kuwasomea tu. .

Hebu jaribu kujifunza hii art ya kuongea rasmi mbele ya watu, iko siku yatakukuta.
Yan acha kabisa kitu live siwez ila nakumbuka aunt yangu alikuwa ananikwaza tangu nikiwa na Miak 12 nikaja kumwambia nikiwa na miaka 20 niliongea sana iyo siku Kila akitaka kujibu mm Niko 😂😂mbele nilizungumza matukio ya miaka nane mwisho nikawa nimetoa nyongo tangu sikuhiyo nikaona kimya sna sio suluhisho nikajifunza kuongea japo Kwa kiasi pia kazi inanifnya naongea lkn usije kwenye maandishi nitakuacha mno 😂
 
Nawasalimu wote kwa jina la upendo wa dhati.

Ebwana mimi kuna kitu nimekinot kwangu na kwa muda mrefu nikajua hali itakaa sawa tu mbeleni ila sasa naona hebu niwashirikishe na wadau humu ili kama kuna mtaalam yeyote anaweza akanieleza hali hii husababishwa na nini……..!!!!!!

Ni hivi….. nikiwa kwenye mazungumzo yale yasiyo rasmi mfano vijiweni ama kwenye umati wowote wenye mazungumzo ambayo mtu yeyote anaweza akaongea vyovyote vile huko nipo vizuri sana.

Mfano ubishani unapozuka katika vyombo vya usafiri iwe basi ama kosta mimi ni muanzisha mada mzuri sana na pia hata mada nikiikuta wanajadili sehemu barabarani na kuna watu wengi nikisikia tu wanachojadili lazima niingilie kati tena kwa hoja nzito na ubishani mkali sana kiasi kwamba mpaka niliowakuta mada ikiisha lazima waniambia “aisee bora umetusaidia bwana maana walitaka kutudanganya hawa”.

Na hao watu nakuwa wala siwajui na hawanijui ila nimevamia tu mada na kufanikiwa kuwateka wasikilizaji (yaani nakuwa na makomfidensi ya kufa mtu).

Shida sasa inakuja kwenye yale mazungumzo ambayo yanahitaji mpangilio wa kuongea eidha unakuta ni vikao vya kiofisini au kwenye vikao flani muhimu….. yaani labda inapangwa kabisa ataongea flani… akitoka flani atachangia flani kisha akitoka huyo flani bwana chief kumbyambya itakuwa zamu yako….

Unakuta wametangulia kuongea waliotangulia na tumewasikiliza vizuri kisha kile kile kitendo tu cha kijua sasa ni zamu yangu ya kuongea ndiyo inafuata.. hapo hapo ndiyo naanza kuvibrate sasa…

Yaaani naongea kwa hofu… pumzi inakuwa kama inabana hivyo kupelekea sauti itoke kama ya kutetemeka hivi…. Kwa mtu mwelewa akiwepo eneo hilo anajua tu huyu kijana ana hofu kubwa sana na hajazoea kuongea mbele za watu ndiyo maana anapata shida hivi wakati sio kweli….. mimi nikiwa uraiani huko naweza kuongea na watu hata mia tatu siwajui na hawanijui tena kwa confidence ya hali ya juu mno mpaka najishangaa inakuwaje hapa!!!?

Sasa wadau swali langu…..……

Ni kwanini nakuwa vizuri katika mazungumzo yale yasiyo rasmi…. yaani mtu flani anaongea alafu akishamaliza tu mimi nikidakia bila kuchaguliwa nakuwa na comfidence moja matata sana mpaka utasema hakika huyu kijana ni toleo jipya la Malcolm X.

Hata watu wawe mia tatu nitashusha nondo matata sana na wote wanatulia kusikiliza na wanakubali.

Ila yale mazungumzo ya mpangilio wa uongeaji kwa kufuata zamu kama niliyoyaeleza kule juu nakuwa vibaya utafikiri sio mimi.

Hapo kitaalamu kuna nini. Ama natakiwa kurekebisha nini?

Naamini humu kuna wajuvi wa mambo.
Kwa ninavyoona ni kwamba mtaani unapata ujasiri kwakua unaamini unajua kuliko wao (una akili kuwazidi. Ila inapokuja sehemu rasmi kama ofisini unaweka dhana kwamba wanaokusikiliza nao wanajua, huenda kuzidi wewe, hapo lazima uhofie ukiongea pumba itakuaje.
Kwaiyo cha kufanya tumia ujasiri uleule wa mtaani, jiwekee kichwani kwamba hawa wanaonisikiliza hawajui kuliko mimi, na ninachokisema ndio sahihii. nadhani hofu hiyo itaondoka. Ila pia kama unachaguliwa mapema, basi andaa kabisa cha kuongea, unaweza ukaandika hint kwenye kakijikaratasi au notebook itakusaidia kujua kipi kinafuata baada ya ulichomaliza kuongea
 
Nawasalimu wote kwa jina la upendo wa dhati.

Ebwana mimi kuna kitu nimekinot kwangu na kwa muda mrefu nikajua hali itakaa sawa tu mbeleni ila sasa naona hebu niwashirikishe na wadau humu ili kama kuna mtaalam yeyote anaweza akanieleza hali hii husababishwa na nini……..!!!!!!

Ni hivi….. nikiwa kwenye mazungumzo yale yasiyo rasmi mfano vijiweni ama kwenye umati wowote wenye mazungumzo ambayo mtu yeyote anaweza akaongea vyovyote vile huko nipo vizuri sana.

Mfano ubishani unapozuka katika vyombo vya usafiri iwe basi ama kosta mimi ni muanzisha mada mzuri sana na pia hata mada nikiikuta wanajadili sehemu barabarani na kuna watu wengi nikisikia tu wanachojadili lazima niingilie kati tena kwa hoja nzito na ubishani mkali sana kiasi kwamba mpaka niliowakuta mada ikiisha lazima waniambia “aisee bora umetusaidia bwana maana walitaka kutudanganya hawa”.

Na hao watu nakuwa wala siwajui na hawanijui ila nimevamia tu mada na kufanikiwa kuwateka wasikilizaji (yaani nakuwa na makomfidensi ya kufa mtu).

Shida sasa inakuja kwenye yale mazungumzo ambayo yanahitaji mpangilio wa kuongea eidha unakuta ni vikao vya kiofisini au kwenye vikao flani muhimu….. yaani labda inapangwa kabisa ataongea flani… akitoka flani atachangia flani kisha akitoka huyo flani bwana chief kumbyambya itakuwa zamu yako….

Unakuta wametangulia kuongea waliotangulia na tumewasikiliza vizuri kisha kile kile kitendo tu cha kijua sasa ni zamu yangu ya kuongea ndiyo inafuata.. hapo hapo ndiyo naanza kuvibrate sasa…

Yaaani naongea kwa hofu… pumzi inakuwa kama inabana hivyo kupelekea sauti itoke kama ya kutetemeka hivi…. Kwa mtu mwelewa akiwepo eneo hilo anajua tu huyu kijana ana hofu kubwa sana na hajazoea kuongea mbele za watu ndiyo maana anapata shida hivi wakati sio kweli….. mimi nikiwa uraiani huko naweza kuongea na watu hata mia tatu siwajui na hawanijui tena kwa confidence ya hali ya juu mno mpaka najishangaa inakuwaje hapa!!!?

Sasa wadau swali langu…..……

Ni kwanini nakuwa vizuri katika mazungumzo yale yasiyo rasmi…. yaani mtu flani anaongea alafu akishamaliza tu mimi nikidakia bila kuchaguliwa nakuwa na comfidence moja matata sana mpaka utasema hakika huyu kijana ni toleo jipya la Malcolm X.

Hata watu wawe mia tatu nitashusha nondo matata sana na wote wanatulia kusikiliza na wanakubali.

Ila yale mazungumzo ya mpangilio wa uongeaji kwa kufuata zamu kama niliyoyaeleza kule juu nakuwa vibaya utafikiri sio mimi.

Hapo kitaalamu kuna nini. Ama natakiwa kurekebisha nini?

Naamini humu kuna wajuvi wa mambo.
Kifupi wewe ni wa vijiweni zaidi kuliko ofisini. Huko uko bahati mbaya tu.
 
Nawasalimu wote kwa jina la upendo wa dhati.

Ebwana mimi kuna kitu nimekinot kwangu na kwa muda mrefu nikajua hali itakaa sawa tu mbeleni ila sasa naona hebu niwashirikishe na wadau humu ili kama kuna mtaalam yeyote anaweza akanieleza hali hii husababishwa na nini……..!!!!!!

Ni hivi….. nikiwa kwenye mazungumzo yale yasiyo rasmi mfano vijiweni ama kwenye umati wowote wenye mazungumzo ambayo mtu yeyote anaweza akaongea vyovyote vile huko nipo vizuri sana.

Mfano ubishani unapozuka katika vyombo vya usafiri iwe basi ama kosta mimi ni muanzisha mada mzuri sana na pia hata mada nikiikuta wanajadili sehemu barabarani na kuna watu wengi nikisikia tu wanachojadili lazima niingilie kati tena kwa hoja nzito na ubishani mkali sana kiasi kwamba mpaka niliowakuta mada ikiisha lazima waniambia “aisee bora umetusaidia bwana maana walitaka kutudanganya hawa”.

Na hao watu nakuwa wala siwajui na hawanijui ila nimevamia tu mada na kufanikiwa kuwateka wasikilizaji (yaani nakuwa na makomfidensi ya kufa mtu).

Shida sasa inakuja kwenye yale mazungumzo ambayo yanahitaji mpangilio wa kuongea eidha unakuta ni vikao vya kiofisini au kwenye vikao flani muhimu….. yaani labda inapangwa kabisa ataongea flani… akitoka flani atachangia flani kisha akitoka huyo flani bwana chief kumbyambya itakuwa zamu yako….

Unakuta wametangulia kuongea waliotangulia na tumewasikiliza vizuri kisha kile kile kitendo tu cha kijua sasa ni zamu yangu ya kuongea ndiyo inafuata.. hapo hapo ndiyo naanza kuvibrate sasa…

Yaaani naongea kwa hofu… pumzi inakuwa kama inabana hivyo kupelekea sauti itoke kama ya kutetemeka hivi…. Kwa mtu mwelewa akiwepo eneo hilo anajua tu huyu kijana ana hofu kubwa sana na hajazoea kuongea mbele za watu ndiyo maana anapata shida hivi wakati sio kweli….. mimi nikiwa uraiani huko naweza kuongea na watu hata mia tatu siwajui na hawanijui tena kwa confidence ya hali ya juu mno mpaka najishangaa inakuwaje hapa!!!?

Sasa wadau swali langu…..……

Ni kwanini nakuwa vizuri katika mazungumzo yale yasiyo rasmi…. yaani mtu flani anaongea alafu akishamaliza tu mimi nikidakia bila kuchaguliwa nakuwa na comfidence moja matata sana mpaka utasema hakika huyu kijana ni toleo jipya la Malcolm X.

Hata watu wawe mia tatu nitashusha nondo matata sana na wote wanatulia kusikiliza na wanakubali.

Ila yale mazungumzo ya mpangilio wa uongeaji kwa kufuata zamu kama niliyoyaeleza kule juu nakuwa vibaya utafikiri sio mimi.

Hapo kitaalamu kuna nini. Ama natakiwa kurekebisha nini?

Naamini humu kuna wajuvi wa mambo.
Mkuu wewe ni Mimi mtupu,,

Kumbuka kuongea mbele ya halaiki ni kipaji.
 
Hiyo hali ndio ilisababisha nikawa naacha kusalisha ibada za nyumbani/usiku ikifika zamu yangu. Nikisema nifungue mdomo tu kichwa na mdomo vinakosa ushirikiano.

siku moja kwenye pasaka nimekunywa tuchupa tuwili nikapewa mimi kutafakari somo nilichana mistari hafi wakaniambia basi inatosha.


Mkuu kunywa pombe kidogo utajua uwezo wako wa kumwaga points upo wapi
Hivi kuna uhusiano gani kati ya pombe na confidence,,,maana kuna manzi nataka nimchane makavu kwamba namkubali..
 
Kwa uwezo wako wa kuchangia point bila kukaribishwa tena kwenye kadamnasi ya watu usio wajua ni kipaji kwa kweli nikupongeze kwa hilo.
Nikijilinganisha na mimi, ni kinyume chake.

Sina uwezo wa kufanya kama wewe unavyofanya ila kwenye vikao vya ajenda ukiniiunua nichangie nitachangia vizuri tu tena hoja nzito isiyokuwa na sentensi ndefu ila yenye nguvu. Ila hapo awali nilikuwa siwezi hata kuzungumza kwenye hivyo vikao vya ajenda.
Nilifanyaje nikalimudu? Ni baada ya kuwa nahusika kwenye vikao vingi vya ajenda hapo sasa sikuwa na namna ya kulikwepa, mbinu niliyotumia ni simple sana. Niliacha kujilinganisha na wengine na kuanza kukubali uwezo wangu binafsi ama wazo langu linalokuja kichwani.
Ukitoa wazo kwa mara ya kwanza, wapo watao cheka , wapo watao kubeza na wapo watao kubali.
Wewe usijali nani atakubali na nani atacheka.

Kwa ufupi: Acha kujilinganisha na wengine, ongeza umakini kwenye hivyo vikao ili pindi zamu yako inapofika unatoa wazo ambalo lipo kwenye kichwa chako full stop,?usijiulize wamelipokeaje. na mwisho kabisa usiwe mzungumzaji sana kwenye vikao ongea pale itapobidi tu.
 
Nawasalimu wote kwa jina la upendo wa dhati.

Ebwana mimi kuna kitu nimekinot kwangu na kwa muda mrefu nikajua hali itakaa sawa tu mbeleni ila sasa naona hebu niwashirikishe na wadau humu ili kama kuna mtaalam yeyote anaweza akanieleza hali hii husababishwa na nini……..!!!!!!

Ni hivi….. nikiwa kwenye mazungumzo yale yasiyo rasmi mfano vijiweni ama kwenye umati wowote wenye mazungumzo ambayo mtu yeyote anaweza akaongea vyovyote vile huko nipo vizuri sana.

Mfano ubishani unapozuka katika vyombo vya usafiri iwe basi ama kosta mimi ni muanzisha mada mzuri sana na pia hata mada nikiikuta wanajadili sehemu barabarani na kuna watu wengi nikisikia tu wanachojadili lazima niingilie kati tena kwa hoja nzito na ubishani mkali sana kiasi kwamba mpaka niliowakuta mada ikiisha lazima waniambia “aisee bora umetusaidia bwana maana walitaka kutudanganya hawa”.

Na hao watu nakuwa wala siwajui na hawanijui ila nimevamia tu mada na kufanikiwa kuwateka wasikilizaji (yaani nakuwa na makomfidensi ya kufa mtu).

Shida sasa inakuja kwenye yale mazungumzo ambayo yanahitaji mpangilio wa kuongea eidha unakuta ni vikao vya kiofisini au kwenye vikao flani muhimu….. yaani labda inapangwa kabisa ataongea flani… akitoka flani atachangia flani kisha akitoka huyo flani bwana chief kumbyambya itakuwa zamu yako….

Unakuta wametangulia kuongea waliotangulia na tumewasikiliza vizuri kisha kile kile kitendo tu cha kijua sasa ni zamu yangu ya kuongea ndiyo inafuata.. hapo hapo ndiyo naanza kuvibrate sasa…

Yaaani naongea kwa hofu… pumzi inakuwa kama inabana hivyo kupelekea sauti itoke kama ya kutetemeka hivi…. Kwa mtu mwelewa akiwepo eneo hilo anajua tu huyu kijana ana hofu kubwa sana na hajazoea kuongea mbele za watu ndiyo maana anapata shida hivi wakati sio kweli….. mimi nikiwa uraiani huko naweza kuongea na watu hata mia tatu siwajui na hawanijui tena kwa confidence ya hali ya juu mno mpaka najishangaa inakuwaje hapa!!!?

Sasa wadau swali langu…..……

Ni kwanini nakuwa vizuri katika mazungumzo yale yasiyo rasmi…. yaani mtu flani anaongea alafu akishamaliza tu mimi nikidakia bila kuchaguliwa nakuwa na comfidence moja matata sana mpaka utasema hakika huyu kijana ni toleo jipya la Malcolm X.

Hata watu wawe mia tatu nitashusha nondo matata sana na wote wanatulia kusikiliza na wanakubali.

Ila yale mazungumzo ya mpangilio wa uongeaji kwa kufuata zamu kama niliyoyaeleza kule juu nakuwa vibaya utafikiri sio mimi.

Hapo kitaalamu kuna nini. Ama natakiwa kurekebisha nini?

Naamini humu kuna wajuvi wa mambo.
Ni jambo la kawaida kwa vijana wengi tena hata kwa baadhi ya watu wazima. Kila kitu ni uzoefu unaopatikana baada ya mazoezi. Jibidishe kuzungumza mara kwa mara katika formal meetings utaona uta master maongezi kama huko mtaani.
 
Back
Top Bottom