Recent content by BABU MAENDELEO

  1. BABU MAENDELEO

    Waliochaguliwa IFM tukutane hapa

    kama umekuja kusoma Ifm sipagumu kihivyo, ila wengiwao chuo kinawashinda kwa ulimbukeni wa starehe na Anasa. Chuo kimezungukwa na club zakutosha, ukitoka nje ya geti la chuo unapokelewa na kfc, samaki samaki casino.Ushauri wangu ukijiwekea ratiba yako vizuri ya masomo na starehe hakuna...
  2. BABU MAENDELEO

    Mnaotumia barabara ya New Bagamoyo Road

    Naona leo tena wanaendelea kula vichwa
  3. BABU MAENDELEO

    Mnaotumia barabara ya New Bagamoyo Road

    Wakuu mnaotumia barabara ya new bagamoyo road leo jihadharini msitanue barabarani traffic wamejazana kibao kwa wanaotanua na wameshakula mpunga kutosha
  4. BABU MAENDELEO

    Kuchelewa kwa fedha za field IFM

    kwa habar nilizopata waliosaini wameshaingiziwa sasa tuliohuku vijijini mnatusaidiaje jamani hali ni ngumu tunakufaa na njaa simtuekee hizo fedha
  5. BABU MAENDELEO

    Napenda umaarufu

    Kuwa na kitu cha tofaut na wengine tuu, kuwa kama wewe usiige maisha ya wengine
  6. BABU MAENDELEO

    Anachonifanyia mke wangu kinaniumiza moyo sana, ushauri tafadhali

    Kujambajamba ovyo sio vizuri atazoea mpaka mbele za watu, jaribu kuongea naye…! duuh umeleta mpk jf ishu kama iyo
  7. BABU MAENDELEO

    Kuchelewa kwa fedha za field IFM

    Mama Ndalichako sijui kama analijua hili linaloendelea hapo IFM
  8. BABU MAENDELEO

    Kuchelewa kwa fedha za field IFM

    Ni wazuri wakutoa matako lakini utekelezaji ni zeroplus
  9. BABU MAENDELEO

    Kuchelewa kwa fedha za field IFM

    yote yanawezekana ndiomana wanaweka vikwazo vingi
  10. BABU MAENDELEO

    Kuchelewa kwa fedha za field IFM

    Ndugu wana jukwaa chuo chetu cha usimamizi wa fedha (IFM) kimeamua kututesa bila sababu ya msingi kwani tuliahidiwa kuingiziwa fedha za field baada ya uhakiki kumalizika ila cha kushangaza mpaka dakika hii uhakiki umekamilika ila hakuna mwanafunzi yoyote aliyeingiziwa fedha za kujikimu. Fedha...
  11. BABU MAENDELEO

    Kazi ya usimamizi wa Uchaguzi Kinondoni

    Mkuu kwani manispaa ya kinondoni washatoa hayo majina?
  12. BABU MAENDELEO

    Vyuo vikuu kuanza November

    SERIKALI imetoa waraka unaovielekeza vyuo vikuu vyote nchini, kuchelewa kuanza muhula wa masomo kwa mwezi mmoja, ili kupisha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa waraka huo, badala ya kuanza Oktoba kama ilivyozoeleka, muhula kwa vyuo vikuu vyote katika mwaka huu, utaanza juma la...
  13. BABU MAENDELEO

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Mkuu Andika namba ya mwaka wa kwanza ulipofanya mtihani wa form 4
  14. BABU MAENDELEO

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Wakuu sifa za mdhamini ni zipi? au unachagua mtu yoyote.
Back
Top Bottom