kama umekuja kusoma Ifm sipagumu kihivyo, ila wengiwao chuo kinawashinda kwa ulimbukeni wa starehe na Anasa. Chuo kimezungukwa na club zakutosha, ukitoka nje ya geti la chuo unapokelewa na kfc, samaki samaki casino.Ushauri wangu ukijiwekea ratiba yako vizuri ya masomo na starehe hakuna...
Wakuu mnaotumia barabara ya new bagamoyo road leo jihadharini msitanue barabarani traffic wamejazana kibao kwa wanaotanua na wameshakula mpunga kutosha
Ndugu wana jukwaa chuo chetu cha usimamizi wa fedha (IFM) kimeamua kututesa bila sababu ya msingi kwani tuliahidiwa kuingiziwa fedha za field baada ya uhakiki kumalizika ila cha kushangaza mpaka dakika hii uhakiki umekamilika ila hakuna mwanafunzi yoyote aliyeingiziwa fedha za kujikimu.
Fedha...
SERIKALI imetoa waraka unaovielekeza vyuo vikuu vyote nchini, kuchelewa kuanza muhula wa masomo kwa mwezi mmoja, ili kupisha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Kwa mujibu wa waraka huo, badala ya kuanza Oktoba kama ilivyozoeleka, muhula kwa vyuo vikuu vyote katika mwaka huu, utaanza juma la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.