Recent content by Babu Kijana

  1. B

    GE2025 Majina haya ya Wabunge waliokatwa kwa visasi

    Mbunge wangu Ummy alifanya kosa gani? Nasikia fununu alikula fedha za Covid19 akiwa waziri afya na tetesi nyingine alikamatwa na mazungumzo ya kumsema Rais wangu mpendwa Samia. Ukweli ni upi?
  2. B

    Tusilee ujinga, nilipogundua hii dawa akaondoka mwenyewe na hana hamu tena

    Ni roho mbaya na uchoyo, mwanaume hutakiwi kuangalia vitu vidogo kama hivyo, manake hapo kikubwa ulichofanya ni kumlisha na kulala tu ambapo haipunguzii kitu. Sasa unaombwa laki 4 ya udereva unamnyima wakati anataka apambane ajiokoe na ajira,
  3. B

    Natafuta mhasibu

    Ujuaji mwingi sio lazima uposti
  4. B

    Natafuta mhasibu

    Acha ujuaji
  5. B

    Natafuta mhasibu

    Habari ninahitaji mhasibu kwa ajili ya kampuni mpya uwekezaji kwenye madini, awe na uzoefu wa kazi zaidi ya miaka 5. Majukumu ni kuandaa mishahara, kuandaa report za fedha kila mwezi kwenda mamlaka za serikali, kumanage cash na accounts, kudhibiti matumizi na kuratibu, n.k. Tuma CV kupitia...
  6. B

    Aina za maandamano

    Maandamano ya kisiasa yanatakiwa kuwa BRUTAL kweli kweli, hiki kinachofanyika ni kumjenga Rais na ni kupoteza muda tu
  7. B

    PreGE2025 CHADEMA yakubali kufanya mdahalo na CCM kwa masharti

    Ukiweka masharti yote hayo ni wazi kuwa wamekimbia mdahalo
  8. B

    Natafuta kiwanja cha kufungia mwaka

    Mkuu nicheki inbox
  9. B

    Natafuta kiwanja cha kufungia mwaka

    Nina bajeti ya 6m natafuta kiwanja dar es Salaam kigamboni, madale. Kiwe kimepimwa. Nahitaji kufunga mwaka kwa kishindo.
  10. B

    Kuna genge limejipanga kuharibu kwa makusudi sifa na hadhi ya Rais Samia

    Tatizo sio urais tatizo ni kwa kuwa rais muislam
  11. B

    Uteuzi: Dkt. Said Ally Mohamed ateuliwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Nchini

    Kwanini wakristo hawakutaka kipengele cha dini kwenye sensa 2012?
  12. B

    Siasa za kujaza matumbo zinawasumbua CHADEMA mnawaza kurudi Bungeni maana mlishageuza ajira

    Magufuli alitumia mtutu kutaka kuua upinzani alishindwa lakini mama Samia anatumia asali na atafanikiwa kuua upinzani kufikia 2025 wananchi hawatowaamini upinzani kwa sababu njaa na matumbo yao ndio lengo lao. Mama ongeza asali tafadhali🤣🤣🤣🤣
  13. B

    Kwanini kipindi cha Kikwete Madaktari na Walimu waligoma?

    Mfumo kristo ulikuwa nyuma ya migomo na maandamano
Back
Top Bottom