Recent content by babras

  1. B

    Interview UDOM

    mkuu nakushauri ufanye mambo yako mengine coz kama walisema wataweka majina bado hawajaweka na hata wakiweka huwez jua matokeo yatakuaje so piga mishe zingine apply sehem nyingine uku ukiendelea kusikilizia... kila la heri
  2. B

    Kwa Wale wa CPA(T)

    nakushaur fanya mba acha na cpa utazeeka apo from module a to F tafuta ela au fanya kaz uku unazisogeza ili opportunity cost ipungue ol da best
  3. B

    Udom udom udom

    ivyo vyuo mnavyo visifia ..majanga tu ma lecturer wa udom wengine waliotoka mzumbe hawana maadili..na wanafundisha ovyo sana hamna jipya copy na kupaste vitiny tu na kutumezesha .wengine wameendekeza uzinzi ie hawana maadili eti wamesoma BAF...so is that what they were taught at mzumbe...
  4. B

    Udom wamenfanya nimefukuzwa kazi....

    usijali kazi zipo kibao apa mjin tulia tu milango itafunguka wahindi wenyewe wakolon mungu amekuepusha
  5. B

    kazi stastionary kwa wadada 2

    Ata mlinzi alipwi hiyo hela lakiiiiiii p.m
  6. B

    Ninashahada ya sheria, natafuta kazi yoyote ili mradi niweze kuifanya

    Daah pole sana uc chague kaz mungu yupo utapata
  7. B

    Pata asali asili ya nyuki wadogo na wakubwa

    Light natural honey sellers, tunakupatia asali asili(orginal) kwa bei reasonable kabisa,ukiwa arusha tunakuletea ulipo kwa wateja wa mikoani tutakutumia kwa gharama zako. piga simu 0769 53 43 83 kwa maelezo zaidi.
  8. B

    BOT MaJanGa..........!!!?@

    ....................................................
  9. B

    Ushauri kuitwa Pccb na World vision Program finance siku 1

    World vision ndo mpango mzima
  10. B

    Aptitude test pccb based on accounting proffesionals

    Fanya revision kuanzia accounting cycle na kuendelea ..very basic questions no need to worry..taxation..government accounting .
  11. B

    Nafasi pccb link hapa

    Amen..............
  12. B

    Jamani, tushauriane ajira hazipatikani

    Asante kwa ushauri mkuu
Back
Top Bottom