- Thread starter
- #21
bwana rosem,,achana Na huyu jamaa,nimemfanyia research kwa mda mfupi,,kuna thread nimekuta kakoment akiomba kujua nn maana ya cpa Na acca,, hii inamaanisha asingekua Na la kuchangia kwenye hii thread. ukitaka kuamini tembelea profile yake,, kwa hiyo usipoteze mda wako kumfikiria,,