Recent content by BabaMia

  1. B

    Afande Sele aongea ya moyoni kuhusu Lissu.

    https://www.facebook.com/share/r/1ATsucVFUU/VIDEO: Msanii mkongwe wa muziki wa 'HipHop' nchini Selemani Msindi @afandesele1976 amesema hivi karibuni amekutana na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi ambapo miongoni mwa mambo aliyomweleza ni mashaka yake ya uwepo wa namba ndogo...
  2. B

    KERO Nyumba za Michenzani (Zanzibar) zinatiririsha maji yenye kinyesi Mtaani na Mamlaka hazichukui hatua zozote

    UTAWAZOEA. WAZANZIBARI NI WACHAFU HATARI. KUWA MAKINI USIJE UKAWAIGA. WACHAFU KUNUKA.
  3. B

    PreGE2025 Boniface Jacob (Boni Yai): Lembrus Mchome amepangiwa apartment Masaki na Msajili wa Vyama vya Siasa

    Ukimpa KVant anakupa mchongo wote. Yeye na pombe,pombe na yeye.
  4. B

    Charles Hilary: Mazungumzo Mafupi Kwenye Kifungua Kinywa Zanzibar

    Sokoni kwa watu wa pwani. Zanzibar na Mombasa wanatumia sana hilo neno
  5. B

    PreGE2025 CHADEMA yamvua Uongozi Lemburus Mchome

    #HABARI Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lembrus Mchome leo Jumamosi, Mei 17, 2025 amevuliwa nafasi yake ya Uongozi ndani ya Chama hicho Kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Ndonde Tottinan...
  6. B

    Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

    Yani huu uzi,nimesoma comment zote kutafuta muendelezo wa story. Hadi nimefika hapa.
  7. B

    Kijana ahukumiwa miezi 6 jela kwa kuva sare za JWTZ ili kumshawishi mchumba wake kuwa yeye ni Askari

    #HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kifungo cha miezi sita Rajabu Reli (22), mkazi wa Sengerema baada ya kukutwa na hatia ya kuvaa sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) bila ruhusa. Hukumu hiyo imetolewa jana Januari 07, 2025 katika shauri la jinai namba 445...
  8. B

    PreGE2025 Paul Makonda: Gambo usitake umaarufu wa kijinga, uwe unahudhuria vikao vya maendeleo Mkoa wa Arusha

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akiambatana na Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya kiwango cha Lami ya Mianzini-Olemringaringa amemtaka Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo kuwa anahudhuria vikao mbalimbali vya maendeleo ndani ya...
  9. B

    Albamu ya Sumu ya Chino Wanaman kweli ni Sumu, dogo anajua

    Kwenye album mbona kumeandikwa Sufuri badala ya sifuri. Hiyo Zzero najua ni madoido.
  10. B

    Kugombana na mwenzio inapunguza Kinga za mwili: Profesa Janabi

    MKURUGENZI WA MNH: UGOMVI NA MWENZA WAKO UNAWEZA KUPUNGUZA KINGA YA MWILI Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohammed Janabi, ametoa ufafanuzi wa kitaalamu kuhusu athari za ugomvi na mwenza kwenye afya ya mwili, akibainisha kuwa hali hiyo inaweza kupunguza kinga ya...
Back
Top Bottom