Recent content by babaflavian

  1. B

    Kweli biashara ushindani, angalia mabasi mapya ya Shabiby

    Abiria kwake kizuri ni chombo au hilo basi!.Dereva kwake si uzuri wa hicho anachoendesha bali ni maslahi yake.Ndiyo maana wapo tayari kuendesha nyonyamavi kuliko gari lenye vikolombwezo,mwisho wa safari akipiga hesabu hajaingiza hata ndururu zaidi ya kuambulia lawama toka kwa abiria iwapo kawako...
  2. B

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Upigaji punyeto ni sawa na ulevi Wa gongo,viroba,uvutaji unga,bangi nk.Hapa inahitajika elimu kwa sasa toka vyombo husika,maana hili jambo limeshika kasi sana miaka hii na ndiyo maana mada za punyeto ni nyingi sana kwenye mitandao,ni wakati sasa kwa wataalam wa magonjwa ya akili kuja upande huu...
  3. B

    CUF mnavyosema mnakubalika sana bara, mbona hatuoni mtu hata mmoja akihamia kwenu?

    Na hivi sasa hawako pamoja tena,washagawanyika.Kuna cuf ambao ni watanzania bara ambao wanasapoti Ukawa ili mabadiriko yaje.Lakini pia kuna kundi la Cuf Wengi wao ni wapemba ambao wanasema kuliko kuja kumpigia kura ------ (Slaa) ni bora chama kife bara,kwa vile wao Pemba wanauhakika cuf yao...
  4. B

    CUF mnavyosema mnakubalika sana bara, mbona hatuoni mtu hata mmoja akihamia kwenu?

    Cuf wao wanachotaka ni ruzuku na si kuing'oa CCM.Wanasema ikiwa hawatasimamisha mgombea watakosa ruzuku,wao suala la kufanya mabadiriko ambayo watanzania wengi tunayatamani si suala la msingi.
  5. B

    CUF mnavyosema mnakubalika sana bara, mbona hatuoni mtu hata mmoja akihamia kwenu?

    Inasemekana huenda Pro akajiuzuru kwa kuchoshwa na lawama za wasioona mbele ambao wanajifanya chama ni chao.Ikifikia hapo,Cuf itakuwa kama TADEA
  6. B

    Twendeni tukapige kura asiyetaka abaki-Amri ya B,Mkapa kwa Wajumbe H/KUU

    Dar hadithi tamu,ila imekata ghafla
  7. B

    Hii nchi bwana kila kitu usanii, eti leo Slaa, Rostam, Mengi na Lowassa lugha moja

    Tupe ushahidi usio na shaka,hayo mazungumzo ya kumtaka Lowasa yalifanyika lini na wapi
  8. B

    Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

    Wahariri na waandishi wao,washabiki,wakereketwa,wapenzi,na pia wasaka tonge wa Lowasa wote Nywiiiiiii!!.
  9. B

    Je, wewe ni Mjasiriamali?

    Wapi contact zako
  10. B

    Cong: Mpiga kinanda wa kanisa la K-ndege Dom

    Hiyo k ndege ni ccm city (Dodoma)
Back
Top Bottom