Hahahaha mikoani hamwezijua hii kitu kinachoitwa foleni ambapo unakaa zaidi ya saa sehemu moja kusubiri foleni itembee ama kumsubiri mheshimiwa apite kwa hiyo ruksa kutuita wanaume wa Dar
Hapo kutakuwa na tatizo aisee, cheki na fundi wa uhakika si kila fundi wa magari ana utalaamu wa kila part ya gari, endelea kufanya research taratibu utakutana na fundi wa kukusaidia kutatua tatizo hilo kama upo Dar nenda pale maeneo ya Sinza kijiweni baada ya kituo cha mafuta cha Puma kuna...
Brother mafuta yanatembea kwenye foleni kwa hiyo watu wanaopt kuzima, kama upo nje ya Dar mtu akikuambia foleni inavotesa huwezimwelewa. Kuna kipindi unaweza ukakutana na foleni ya kufa mtu ama msafara wa mheshimiwa aisee huweziliacha gari linaunguruma lazima ulizime usikilizie kwanza mpaka...
Hata mimi huwa inanitokea, ila nilichogundua ni kwamba mfano ukiwa umesimama ukawasha gari hapohapo ukakanyaga mafuta lazima istuke kidogo ila mfano ukiiwasha ukasubiri kama sekunde tano ukikanyaga mafuta haistuki
Na mara nyingi ukiizima kwenye foleni then ukaiwasha na kuondoka ghafla ndo...
Hivi wanawake wao hawawezi kujiandaa ina maana kila siku wao wanatakiwa kuandaliwa tu, mfikage mahali mjiandae basi maana kazi ya kuandaana nayo sometime inaboga tu, mara utamke uongo ooh baby you look hot today, oooh lips zako leo zinashaini, yaani uongouongo tu, mimi kuna muda unafika nacheka...
Mkuu USSD inatolewa na TCRA, ukifika TCRA wanakuuliza aina ya USSD unayoitaka mfano inaweza ikawa USSD ya Microfinance, USSD mfano ya malipo ya kawaida. Kwa iyo ukifika TCRA kuna form wanakupa unajaza then wewe unaandika barua ya kuomba USSD ikiwa na layout ya namna unavoenda kutumia hiyo USSD...
Unajua mimi sijui ni ushamba wangu ama sijielewi, hivi kuwa vizuri kwenye bed tafsiri yake ni nini hasa:
Je ni mtu kuwa na pumzi kwenda mpaka masaa mawili
Ni mtu anaehakikisha anamridhisha mwenza wake hata kama ni sekunde 20
Je ni mtu anaeweza tendo lenyewe round nyingi bila kuchoka
Ni mtu ambae...
Kuna vitu ukivifikiria sana unaweza ukaugua ugonjwa wa moyo bure aisee, sasa karne hii ya sayansi na technologia ambapo serikali inapambana kila kitu kiwe digitized then anatokea mtu anasema mashine za kuingilia mwendokasi wazitoe then watu watumie makaratasi kweli jamani, kuna muda unawezalaumu...
Huyu jamaa kumbe mtu wa hadithi tu, bora angesema kuwa ni hadithi ila kupiga hadithi ya uongo na ukweli kwa baba yake ni ujinga wa kiwango cha lami, sasa ukute huyo baba yake hata iyo 1M hana kwenye account
Ukweli ndio huo mimi naamini katika AAR as its very convenience nimeitumia huu ni mwaka wa 12 sasa, hizo habari za uzee nazo ukifika ni kumshukuru Mungu tu basi.
Sasa unahangaika nini km hayo ni malipo ya mwaka kwa mtu mmoja si uende walau AAR ambao card yao ipo inakubalika kila mahali na unalipia tu milioni moja tu
My friend kushinda na kuishi porini ndo unaona hiyo ni future, anyway kila mtu ana priority yake ila mimi binafsi siwezisomea Wildlife maana napenda sana maisha ya mjini asikuambie mtu
Mwambie tu haina shida ila hela nyingine ya pembeni kama overtime, night allowance, perdiem na allowance yoyote ile iliyo nje ya mshahara usimwambie. Hiyo itakusaidia kumaliza shida zako ndogondogo mfano mama yako kijijini anaumwa si lazima kumshirikisha mke wako mjadili eti umtumie bei gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.