Recent content by Baba Sharon

  1. Baba Sharon

    Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

    Hapa kuna kitu tujiandae kisaikolojia kuna kuongozwa milele...katiba mpya itqpatikana ya kufanya tuongozwe milele
  2. Baba Sharon

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Kiukwel leo naweza kwenda popote,muda wwte,naweza kula cchte,naweza nunua ving ambavyo watu wanataman kua navyo,wala sitok jasho,nilale,niamke hela napata tu,japo uchum umebadilika lakin siwez kushindwa kuyamudu maisha kwa hali yyte kwa sasa,na mwaka jana nilitaka kujenga shule ya awali mpk...
  3. Baba Sharon

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Dah asante sana best.....kuna muda sitaki kukumbuka hayo maisha kabisa kuna jamaa waliowah niona kipindi cha ufalme wangu wanajua bado nipo vizuri ni ngumu kumuelezea mtu pesa iliisha yote na manyanyaso juu
  4. Baba Sharon

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Nimesoma michango ya watu huku nikajifariji kidogo kuwa sikuwa nyang'au mwenyewe...nilikuwa na raman yangu ya utalii Arusha kila kwa siku nikipiga dili haramu sikosi chini ya $500 nikageuka papaa na wapambe kibao na demu matata kwenda moshi ni tax au Karatu tunachukua Noah private ...siku za...
  5. Baba Sharon

    Dk. Slaa aajiriwa supermarket

    Nahisi hii ni wiki ya madokta bongo...Dr. Louis hajatuacha na Dr. wa supermarket kaibuka tena toka Nakumatt ya Canada
  6. Baba Sharon

    Ni upuuzi mkubwa kufikiria Nape na watu fulani kuhama CCM

    Kaka sijui umefikiria kupitia nn wanaohama ACT kwenda ccm au Chadema kwenda CCM njaa mbaya sana na huko ni kubadilisha nini?? Yan mifano ni wanawake tu
  7. Baba Sharon

    Ulikuwa unamkubali mchoraji gani majirida ya Tabasamu na Sani?

    John Kaduma alikuwa mwisho wa matatizo najaribu kutafakar angekuwepo kipindi hiki ambacho tech imekuwa ingekuaje
  8. Baba Sharon

    Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nzasa achomwa kisu na kufariki akigombania mwanamke

    Kuna watu wanalaumu kuhusu huyu dogo ila watoto wa kike si wawazi form 4 ni mtu mzima kabisa anahisia zake kabisa .....sijapenda reaction ya kuchomwa kisu maana.hata wapondaj huku ni wachepukaj tu kama wengine tu
  9. Baba Sharon

    Mechi 3 bora za wakati wote!

    Hii match nililia sana,na mpaka kesho hata Suarez afanye mema gani siwez mpenda......nilitaka kuamini kuwa machozi yalinitoka kwa sababu ya pombe japo sikuuwa nakunywa konyagi (rahisi kumtoa mtu machozi) ila nilikuja ku realize ni mapenzi mema kwa Africa na Ghana maana siku tatu mfufulizo...
  10. Baba Sharon

    NGAO ya Jamii imetengenezwa upya kwa milioni 10 itakabidhiwa upya ; Habari za ndani

    Niliwahi fikiria hili jambo...wangeitengeneza kwa mbao ya mninga kidogo na kurembwa kwa namna ya pekee hata leo wangeweza kujustify hiyo ten Mil. Na hii nahisi imetengenezwa kwa jacaranda
  11. Baba Sharon

    Kwanini kila mechi ya simba na yanga watu wanazimia lakini matukio hayo hatuyaoni ulaya

    Unategemea nini kila mshabiki ana hirizi yake inapumua kwa kigezo cha kuisaidia timu kama vile wao ndo wanacheza huo mpira uwanjani...kikbuma wanakata moto
  12. Baba Sharon

    Aina hii ya Kamari inaruhusiwa Tanzania, duniani na mbinguni kwa Maulana?

    Sasa mkuu wewe ulishatabiri Simba kufungwa kwa style ya uchawi kwa nini usimshauri jamaa aachane na huo mpango wa kumegewa mke wake???maana upo kwenye kamati ya ufundi na ukweli unaujua kuwa Simba analala leo kupitia thread yako
  13. Baba Sharon

    Sababu tano(5) kwanini unapata pesa lakini huna maendeleo

    Sijui nachokokaje hapa.....na wakati nasoma hili angalizo na text ya dogo inaingia anahitaj nimtumie pesa dah mi sijui kwa kweli kama huu umaskini utatuacha
Back
Top Bottom