Kiukwel leo naweza kwenda popote,muda wwte,naweza kula cchte,naweza nunua ving ambavyo watu wanataman kua navyo,wala sitok jasho,nilale,niamke hela napata tu,japo uchum umebadilika lakin siwez kushindwa kuyamudu maisha kwa hali yyte kwa sasa,na mwaka jana nilitaka kujenga shule ya awali mpk...
Dah asante sana best.....kuna muda sitaki kukumbuka hayo maisha kabisa kuna jamaa waliowah niona kipindi cha ufalme wangu wanajua bado nipo vizuri ni ngumu kumuelezea mtu pesa iliisha yote na manyanyaso juu
Nimesoma michango ya watu huku nikajifariji kidogo kuwa sikuwa nyang'au mwenyewe...nilikuwa na raman yangu ya utalii Arusha kila kwa siku nikipiga dili haramu sikosi chini ya $500 nikageuka papaa na wapambe kibao na demu matata kwenda moshi ni tax au Karatu tunachukua Noah private ...siku za...
Kaka sijui umefikiria kupitia nn wanaohama ACT kwenda ccm au Chadema kwenda CCM njaa mbaya sana na huko ni kubadilisha nini?? Yan mifano ni wanawake tu
Kuna watu wanalaumu kuhusu huyu dogo ila watoto wa kike si wawazi form 4 ni mtu mzima kabisa anahisia zake kabisa .....sijapenda reaction ya kuchomwa kisu maana.hata wapondaj huku ni wachepukaj tu kama wengine tu
Hii match nililia sana,na mpaka kesho hata Suarez afanye mema gani siwez mpenda......nilitaka kuamini kuwa machozi yalinitoka kwa sababu ya pombe japo sikuuwa nakunywa konyagi (rahisi kumtoa mtu machozi) ila nilikuja ku realize ni mapenzi mema kwa Africa na Ghana maana siku tatu mfufulizo...
Niliwahi fikiria hili jambo...wangeitengeneza kwa mbao ya mninga kidogo na kurembwa kwa namna ya pekee hata leo wangeweza kujustify hiyo ten Mil. Na hii nahisi imetengenezwa kwa jacaranda
Unategemea nini kila mshabiki ana hirizi yake inapumua kwa kigezo cha kuisaidia timu kama vile wao ndo wanacheza huo mpira uwanjani...kikbuma wanakata moto
Sasa mkuu wewe ulishatabiri Simba kufungwa kwa style ya uchawi kwa nini usimshauri jamaa aachane na huo mpango wa kumegewa mke wake???maana upo kwenye kamati ya ufundi na ukweli unaujua kuwa Simba analala leo kupitia thread yako
Sijui nachokokaje hapa.....na wakati nasoma hili angalizo na text ya dogo inaingia anahitaj nimtumie pesa dah mi sijui kwa kweli kama huu umaskini utatuacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.