Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Uchi bhana
Wanatofautiana utamuWanawake wengi lakini bado watu wanauawana huu ni uwendawazimu
Kuna watu wanalaumu kuhusu huyu dogo ila watoto wa kike si wawazi form 4 ni mtu mzima kabisa anahisia zake kabisa .....sijapenda reaction ya kuchomwa kisu maana.hata wapondaj huku ni wachepukaj tu kama wengine tuPapuchi wee cha tu,ina sumu mbaya sana haina mfano
Duuuu yaani unabariki wanafunzi wajihusishe tu mapenzi,,,,, na masomo jee au siku hizi mshika mawili hakuna linalomponyokaKuna watu wanalaumu kuhusu huyu dogo ila watoto wa kike si wawazi form 4 ni mtu mzima kabisa anahisia zake kabisa .....sijapenda reaction ya kuchomwa kisu maana.hata wapondaj huku ni wachepukaj tu kama wengine tu
Kwani hawaruhusiwi?Wanafunzi wanaacha kusoma wanagombea papuchi daah!
Apumzike mahala alipojichagulia
Kuna sehemu nimesema hawaruhusiwi?Kwani hawaruhusiwi?
Ni kweli mkuu ila kuna wengine huwa na mawaz kama yako ila inakuja kutokea mrembo alie nae kumbe ana lijamaa lingine bila kujua, inafika siku ya siku unashangaa jamaa anakuvamia na kukupa mabanzi huku akikuambia umemuibia demu kumbe wala wewe ulikuwa unajua ni wako pekee...kwa kujitetea kwa kuwa hutaki ugonvi unasepa bado anakufuata na kukupiga mwisho wa siku lazima utakuwa unarudishia kujihami (WANANZENGO TUTATAFSIRI KWAMBA MNAGOMBEA DEMU KUMBE WEWE WALA HUKUWA NA HIYO ISSUE YA KUGOMBEA DEMU)Kitu na ambcho nilishaapa na nitaendelea kuapa ni kugombea mwanamke hata kama nampenda vip "let her go"
Tamu eti ohooWanafunzi wanaacha kusoma wanagombea papuchi daah!
Apumzike mahala alipojichagulia
Ndiyo tabia zenuSasa UV-CCM inaingiaje apo kwa mfano??
Mwanafunzi wa shule ya sekondari Nzasa amefariki dunia baada ya kuchomwa kisu shingoni kwa kisa kinachodaiwa kugombea mwanamke.
Mwanafunzi huyo Ashiri Musa ambae alikua anasoma kidato cha nne shule ya sekondari Nzasa alikutwa na tukio hilo jana majira ya usiku ambapo alichoma kisu shingoni na kupekea kuvuja damu nyingi ambazo zilipelekea kifo chake papohapo.
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Temeke alithibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema mtuhumiwa wa tukio hilo anashikiliwa na jeshi la polisi kwa uchunguzi zaidi.
Watu wengine hovyo sana.. Badala ya kuzungumzia uzi unapeleka mambo ya vyama.. Yaani akili yako imegonga mwamba kabisa mpk uje na mambo ya hovyo huku...Amepata haki yake, badala ya kufanya NECTA yeye anawanza mapenzi kama vijana wa UV-CCM.