Recent content by Baba Ndubwi

  1. Baba Ndubwi

    Nilichoshuhudia Kariakoo leo kimenifurahisha mno

    Tatizo sio mademu tatizo ni hao wanaotuachia mzigo wa mademu wengi watumiaji tukiwa wachache
  2. Baba Ndubwi

    Nilichoshuhudia Kariakoo leo kimenifurahisha mno

    Hawa wapumbavu wanatuachia msala sana kwa mademu maana tutabaki wachache tutajigawaje sasa kuwashughulikia mademu
  3. Baba Ndubwi

    Je, ni kitu gani ukikisahau nyumbani, hata ukishafika kazini lazima urudi ukakichukue?

    Hirizi ninayovaaga mkononi kama makapteni wa kwenye mpira. Bila hiyo hakuna kazi itaenda poa wakuu.
  4. Baba Ndubwi

    Maeneo haya kampeni ya afya ya kinywa ikafanyike sana, hali ni mbaya

    Namba 1 na 2 mkuu naunga mkono 100% na 100% zingine na nakuongeza zingine 100% Hawa jamaa sijui tatizo ni ushamba ama elimu au umasikini maana umasikini ni wa kiwango cha juu sana huko. Uchafu kwao ni sehemu ya maisha yao. Sio wanawake wala wanaume wanashindana kwa uchafu. Wao wakishavaa zile...
  5. Baba Ndubwi

    Tanzania hatupigi kura kidigitali kwamba mtu akiwa na NIDA tayari kapiga kura, tunapiga kura kwenye boksi zinahesabiwa mbele ya mawakala

    Huna wa kumuongopea hapa, wewe endelea na pumba zako huko hizi sio zama za Habari zote tutapata kwenye TV,Radio na Magazeti. Hizi ni zama za mtu alipo papo kwa hapo anaweza kutoa Habari sahihi kabisaa so kaa kwa utulivu
  6. Baba Ndubwi

    Kwanini Kenya inapendwa na wazungu ilihali tumezidi vivutio?

    Pombe sio maji ya kunywa wallah 🤣🤣🤣
  7. Baba Ndubwi

    Binti ameugua ugonjwa ambao umeshindwa kutambulika

    Ongeeni nae vizuri asimulie historia yake ya aliopita nao. Mpelekeni kwenye hospital bila kujali ni kubwa au ndogo iwe tuu yenye madaktari makini. Ikishindikana kote, mje tufanye maombi maana mbele za Mungu hakuna kinachoshindikana
  8. Baba Ndubwi

    Pastor Tony Kapola awajibu waliobeza muujiza wa kupuliza gesi: Naonekana nadhalilishwa

    Bwa mdogo shalewa tayarii lazima awafokee watoa sadaka🤣🤣a.k.a Wagalatia
  9. Baba Ndubwi

    Hakuna Mungu, ila kuna nguvu ya asili ambayo haina ukomo wala mwanzo

    Sasa ww ndo umenielewa sasaa.... Namaanisha upo kwenye giza la ufahamu wa imani. Ni ngumu kuijua kiundani amani ya mtu mwingine ambayo yeye ameiishi tangu utoto ila ww umeanza kujifunza ukubwani
  10. Baba Ndubwi

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Imenikumbusha ya Kolimba.... R.I.P
  11. Baba Ndubwi

    Hakuna Mungu, ila kuna nguvu ya asili ambayo haina ukomo wala mwanzo

    Upo kizani, ukitoka huko utajielewa.....
Back
Top Bottom