Recent content by Baba mlezi

  1. B

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa Kwenda Iringa, Mafinga au Makambako

    Bahati nzuri Mungu alikuwa Upande wangu.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa Kwenda Iringa, Mafinga au Makambako

    Nafanya hivo mkuu hapa naona hamna jinsi inabidi iwe hivyo Kwa alfajiri hii naenda kutega Ubungo nione kama nitabahatisha
  3. B

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa Kwenda Iringa, Mafinga au Makambako

    Natoka Dar
  4. B

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa Kwenda Iringa, Mafinga au Makambako

    Natokea Dar wakuu, sorry kwa kuruka hiyo taarifa
  5. B

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya BAYPORT

    Humalizi wiki umeshapata pesa labda utachelewa kufanya process kwa mwajiri wako maana ana sehemu yake ya kusaini
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya BAYPORT

    NMB wanahitaji salary slips copy zilizothibitishwa na mwajiri wako na zile sehemu za kusaini mwajiri basi unapata mkopo kiroho safi
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya BAYPORT

    Kwa miaka mitatu atalipa zaidi ya hiyo huenda ikafika m15.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya BAYPORT

    Utakatwa mpaka uone dunia yote inakuchukia
  9. B

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa Kwenda Iringa, Mafinga au Makambako

    Nina safari ya kwenda Makambako Njombe,siku Ya kesho tarehe 23.12.2015 ila mabasi yote ya huko yamejaa. Kwa yeyote mwenye usafiri na anaelekea njia hiyo msaada tafadhari. tupo watu wawili Tunatokea Dar kwenda Njombe. Tupo wawili mie na wife tuna begi moja
  10. B

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete aenda Uswisi

    Safari ya JK USWISI ina mengi,huenda ukawa ndo mwisho wa Timu Abdala,,sijui timu Asha,wenye vijisenti huko wakaangalie kama account zao bado Active
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kinachojiri kutoka Millenium Tower DSM, Kutangazwa mgombea Urais wa UKAWA

    CUF wasijidanganye na ZANZIBAR endapo UKAWA utavunjikA SEIF asahau kuingia IKULU na huenda wakapoteza majimbo mengi,then kwa Bara pia CCM Itaburuza kama kawaida ila kwa UBUNGE CDM watapata viti vingi zaidi tena vingi mno,bado CDM wataendelea kuwa Kambi kuu ya Upinzani
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge yawaadhibu wabunge 5 wa Upinzani

    Hivi kuna wabunge wa CCM waliofunga?
  13. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanawake walio wengi wanapenda kuomba omba hela katika mahusiano?

    Kwa mfano kwenye miji.huku kama wanaume watagoma au wataacha kabisa habari za kuhonga wadada wengi maisha ya mjini watayaona machungu
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanawake walio wengi wanapenda kuomba omba hela katika mahusiano?

    Kutengeneza urafiki na mwanamke ni kuongeza shida aiseeee
  15. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanawake walio wengi wanapenda kuomba omba hela katika mahusiano?

    Hivi ina maana wanawake huwa hawasikii raha yeyote katika tendo la kugegedana?
Back
Top Bottom