Recent content by Baba Matatizo

  1. B

    CHADEMA mtamkumbuka Zitto na Slaa, CUF hawataisahau CHADEMA

    Pia kiti cha kaliua amacho kilikuwa cha JUma Kapuya
  2. B

    Tabora - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Sakaya ni UKAWA akitokea CUF!ni mpiganaji sana huyu mama!Si mzaliwa wa Kaliua na waliingiza ukabila eti hawawezi kutawaliwa na mchaga!!Wanakaliua wamekaa na kuamua nani anawafaa
  3. B

    Tabora - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Kutoka Jimbo la Kaliua Hatimaye Magdalena Sakaya Ni Mbunge halali kupitia UKAWA!Mzee Kapuya hata wakati wa kusaini alikuwa wakutafuta kwa aibu!Nasema kwa aibu kwa sababu nimefuatilia kampeni kwa ukaribu na SAKAYA NI HAKI YAKE KUSHINDA!!JANA MTOTO WA KAPUYA ALIFANYA VURUGU WAKATI UKAWA...
  4. B

    Tabora - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Kutoka Jimbo la kaliua Mkoani tabora Vituo karibia vyote Sakaya anaongoza!!Kwa mkurugenzi Kura zinahzsabiwa
  5. B

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) chakiuka Haki za binadamu Dodoma

    watu hawa SI WA KUJITOLEA NI WATAALAMU AMBAO WANAHITAJIKA KULIPWA KAMA INAVYOTAKIWA!Huwezi kumwambia mtu aje Dodoma toka Tabora na Humpi hata shilingi na wakati huo huo umewaita kwa Kuwaambia hela ya Malazi na Chakula utawalipia!Leo toka Asubuhi hakuna linaloendelea na waangalizi wapo hoi kwa...
  6. B

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) chakiuka Haki za binadamu Dodoma

    Habari ya kazi wakuu!Jana tarehe 20/10/2015 LHRC waliita waangalizi wa Uchaguzi zaidi ya 200 kwa lengo la kuwapa mafunzo Juu ya namna gani wataangalia uchaguzi kama WAANGALIZI wa ndani wa Uchaguzi katika Ukumbi wa Chuo cha Saint John Dodoma! Mafunzo yalikuwa ni ya siku moja yaani tarehe 20...
  7. B

    Sasa mke basi!

    pole mkuu.hata mimi juzi ndo shemeji yako karud home kwa mgogoro mdogo.sasa ushauri wangu ni huu.waeleze wazazi wa mkeo kwamba huna uwezo wa kuwajengea kwani si lazima ila ni kama hisani.pia mkeo mwambie kwamba wewe umemwoa ili mjikomboe na kizazi chenu na si vınginevyo.kuwajengea huwa...
  8. B

    TV Imaan Hewani, Hongera

    tv imaan.elimu bila mipaka.....
  9. B

    Sh. 500 unakula mkoani tabora.hapo ulipo je?

    mpaka sasa tabora kuna sukar ya sh.100,mkaa wa 200 na mafuta ya kura ya 100.
  10. B

    Sh. 500 unakula mkoani tabora.hapo ulipo je?

    pole mkuu.huku 500 tu na shemej anashiba.
  11. B

    Sh. 500 unakula mkoani tabora.hapo ulipo je?

    mkuu huku nilipo ukitoa elfu 5 unaheshimika sana.mfano leo usiku nimekula sh 200.uji 1 na kiaz 1....maisha baridii iii
  12. B

    Sh. 500 unakula mkoani tabora.hapo ulipo je?

    nipo uswahili mkoan tabora kiazi kitamu 1 sh.100 na uji kikombe 1 ni 100.full raha.hapo ulipo je?
Back
Top Bottom