Sh. 500 unakula mkoani tabora.hapo ulipo je?

Sh. 500 unakula mkoani tabora.hapo ulipo je?

Baba Matatizo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2011
Posts
334
Reaction score
64
nipo uswahili mkoan tabora kiazi kitamu 1 sh.100 na uji kikombe 1 ni 100.full raha.hapo ulipo je?
 
Huku kwetu mia tano unapata kikombe cha chai ya rangi kavu. Ukitaka kitafunwa lazima uongeze 500 nyingine.
 
Mia tano huku inatosha chai ya rangi ya mkono mmoja japo salio linabaki ila Ukitaka vitafunwa inabidi ujiongeze


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hongera. Kaa hhukohuko uendelee kufaidi. kuhonga mabibi huko mnahonga bei gani ? elfu tano inapokelewa ?

mkuu huku nilipo ukitoa elfu 5 unaheshimika sana.mfano leo usiku nimekula sh 200.uji 1 na kiaz 1....maisha baridii iii
 
mpaka sasa tabora kuna sukar ya sh.100,mkaa wa 200 na mafuta ya kura ya 100.
 
Hapa zanzibar 1000 ndo unapata urojo safi kwa maeneo ya kawaida na ukitaka na chapat uongeze 300
 
aiseee.polen sana.
Asante, ila kabla hujatoa pole uulize watu wanachakalikaje kuzichanga. Unakuta mama mtu mzima anauza machungwa, ukimtazama tu anakwambia, 'karibu machungwa baba yangu' ilhali ana umri wa kukuzaa.
 
Asante, ila kabla hujatoa pole uulize watu wanachakalikaje kuzichanga. Unakuta mama mtu mzima anauza machungwa, ukimtazama tu anakwambia, 'karibu machungwa baba yangu' ilhali ana umri wa kukuzaa.

kweli mkuu
 
Ndio maana Sitta anapataga kura kirahisi huko mpaka sasa anafikiri anaweza kupata kura zote tz awe Rahisi wa nji hii.
 
Back
Top Bottom