Wewe ndio unamtindio wa ubongo ndio maana hutaki sikia habari tofauti na uliyozoea, utazuiaje MTU kutoa maoni yake juu ya suala lililotikisa nchi? Asitoe wala kulijadili Kisa emalau na kundi lake watachukia, tumefika huko kweli?
Mbona wengi wanayasema ya auna hii, na hayajawa habari Kama la...
Tusitete ujinga kwa Mahaba na mihemko yetu juu ya lowasa, suala la muda linajulikana kipindi kirefu mwisho SAA 12, basi japo 17:15jioni angeanza kuinadi ilani yetu. Tunaposema ni hotuba sio ilani tunamaanisha pale tulikua tukizindua nini?
Mi nadhani tusiwape watu nafasi wakatutukana zaidi kwa...
Wakati mwingine unaweza dhani ni masiala, ila ukweli watanzania wapenda mabadiliko tumeambiwa tukasome ilani hiyo ya mabadiliko ktk mtandao, hivi ni kweli au sikuelewa alichomaanisha Lowasa?.
Hakukuwa na haja ya promo Kubwa Kile watu tuache shuhuli zetu kwenda kusikiliza ilani nzuri ya chama...
Kwa sasa ni kawaida kwa wapinzani kumchukia mtu akosoae upinzani. Sio siasa hizo mfanyazo ni UPUMBAVU ukiopindukia. Mtu avunjae nyumba anaitwaje? Mi nadhani ni vema mtu ukaacha kutuletea hoja za kitoto hapa ili hali kipindu pindu kinamaliza wa TZ wenzetu.
Hayo hayasaidii, hapa tujadili kwa nini majimboni kwetu kuna magomvi. Tushapoteza majimbo 5 alafu mnaleta hoja nyepesi hapa, nao kina Masha ndio watuleteao hizi fujo na kutuvuruga ma ccm yanadhinda tu.
Duh! Hii ya Tanzania ni Kali Sana, hapa inaonesha upofu wa fikra kwa mliowengi ndani ya Jf. Iweje kila lifanywalo kwenu baya? TBC ni ccm sababu hawajatangaza kile utakacho wewe kusikia, Clouds ishanunuliwa na unashawishi wapofu wenzio wasusie ili hali wewe unatazama na ndio maana malalamiko...
Jamani tuwe tunaheshimu Uhuru wa kutoa Mawazo kwa RAIA wenzetu, ni vema kumkosoa kwa lugha nzuri au kufafanua kwa lugha nyepesi Kile asemacho mwenzio kuliko utumiaji huu wa lugha pamoja na mihemko, na Mahaba kwa itikadi yako bila kujali kua itikadi yako na ya mwingine ni tofauti.
Mi nadhani huenda wewe huenda hujamuelewa vizuri Masoud, au unaongozwa na mahaba niue. ungekua unamsapoti lowasa nadhani ungefurahia kazi ya masoud kipanya, maana kampoteza kabisa Magufuri ktk katuni zake na kwa kukusaidia watu wengi usoma katuni za kipanya hence kumchora sana lowasa means...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.