Waandishi wengine mnajidhalilisha

Waandishi wengine mnajidhalilisha

Elewa maana ya uchambuzi, sio kila mchambuzi achambue unvyotaka wewe.


Tunachotaka ni uchambuzi wa kutumia common sense hata kama unaambiwa kupendelea, Mambo ya kutwambia kwamba beleshi ni kijiko kikubwa huo ni kutufanya majuha
 
Vyombo vya habari vimegawanyika vingi vinafanya kazi kishabiki kwa sasa jambo ambalo ni baya sana kwa kipindi hiki

Ni kweli kuna mtu mmoja ameniambia kwamba Star TV ni mojawapo ya vyombo vitakavyotumika kipropaganda na CCM katika uchanguzi huu na Diallo ashalipwa chake
 
Ngoja aje atolee ufafanuzi Pascal Mayalla.
Mkuu Ndagla, asante kunishtua!.
Wadau,
Leo asubuhi nilikuwa nikiangalia kipindi cha jicho letu ndani ya habari, waalikwa Pascal Mayala na mwingine simkumbuki jina. nimewashangaa waandishi hawa Pascal Mayala na mwenzake ambao wameamua kwa makusudi kujitoa ufahamu wakitetea kwamba Mkapa kuwaita watu wapumbavu na malofa si tusi!


Mkuu Emalau, kwanza asante kwa uzi huu ambao pia unanipa fursa ya kupata mrejesho wa kile nilichokiongea leo asubuhi pale star TV.

Naomba kuanza k
wa msisitizo kuwa kumtukana mtu mpumbavu au lofa, ni kumtukana tuu lakini sio kumtukana matusi!. Kuna kutukana na kuna kutukana matusi, sio kila kutukana ni kutukana matusi, ila kila kutukana matusi ni kutukana!.

Neno Mpumbavu
sio tusi, wala neno lofa sio tusi!, bali ni matukano!.
K
wa faida ya wale ambao hawakutazama na kusikia nilisema nini,
Hiki ndicho nilicho
sema.
Namfahamu Mkapa, katika kipindi chake chote cha miaka 10, mimi tayari nilii
shakua mwandishi, nimemcover sana na nimesafiri nae kwenye baadhi ya ziara zake hadi za nje ya nchi!, nikasema Mkapa ni hot tempared man, yaani mtu anayehamaki wka haraka na anayekasirika kwa urahisi, nikatolea mfano mahojiano yake na Tim sebatian katika kipindi cha Hard Talk, kilichorushwa na BBC TV, Mkapa lihamaki hadi akaulizwa "are you angry Mr. President?", akajibu "Yes, I'm very angry!". (BBC World Hardtalk with Tim Sebastian - YouTube) hivyo nikasema Mkapa alitukana kwa sababu amekasirika, ila matukano hayo sio matusi!, na hawezi kushtakiwa kwa sababu hakutaja jina la mtu yoyote, ila kilichoandikwa na gazeti la Mawio kumjibu Mkapa, ni matukano ya matusi, ni uchochezi na yanashitakika

Nika
sema hata Nyerere alipokasirika alikuwa anatukana tena sio mara moja wala mbili ameatukana watu wapumbavu, wajinga, wahenzi, wahuni, mahayaani, mazuzu, kaburu, na hadi kutukana ka kikabila kama "manzi ga nyana!", etc, ila vyombo vya habari havikushupalia matukano hayo!.

Nika
sema kwa level ya Mkapa kama rais mtaafu hakupaswa kutukana nikasema its inappropriet, sio sahihi, nikasisitiza wenye jukumu la kumkanya Mkapa ni Tume ya Uchaguzi na Msajili wa vyama!.

Pia nika
sema kuna waandishi makasuku, ambao kila watakalolisikia, wataliandika kama lilivyo kama wafanyavyo kasuku yaani 'parroting journalim', na kuna waandishi maripota ambao kile watakachokisikia watakitafakari na kuripoti kile tuu kitakachoisaidia jamii. Pia nikazungumzia wajibu wa vyombo vya habari wakati wa uchuguzi, ni kuwasaidia watanzania wafanye informed decision kuchagua kiongozi bora.
niliyopata ni kwamba CCM wamepanga watu wao katika baadhi ya vyombo vya habari ambao watakuwa wanachambua lakini kwa kuwatetea, pamoja na kwamba inawezekana ni mkakati wa kisiasa lakini binadamu unapolazimika kutamka kitu ambacho kinaenda tofauti na dhamira yako unakuwa mtumwa.
Hi
sia ni haki ya kila mtu ambayo unao uhuru nayo kwa asilimia 100% kuhisi chochote juu ya jambo lolote au kumhusu mtu yoyote, hakuna mwenye uwezo wa kuzuia hisia za mtu yoyote!.

Lakini unapohi
si jambo ambalo sii la kweli, then hisia hizo ni za uongo, kwa vile mimi sio mwana CCM siwezi kukubishia kama CCM wamepanga watu wao kwenye baadhi kujifanya achambuzi ili kuitetea CCM. Mimi sii manachama wa CCM, wala chama chochote cha siasa, hivyo sijapangwa na yoyote wala sijakwenda kutetea lolote bali nilisisitiza watanzania tuwe tayari kuupokea ukweli hata ukiwa ni ukweli mchungu kiasi gani, ndio ukweli wenyewe!
Kwa kweli kwa mara ya kwanza nimemuona
Pascal Mayala akijivisha nafsi isiyo ya kwake. Waandishi msijidhalilishe kiasi hiki, uchaguzi utapita lakini madoa na makovu ya kujidhalilisha huchukua muda mrefu kwisha.
Nawasilisha
Kwa vile ndio umeniona kwa mara ya kwanza nikijivisha nafasi isiyo ya kwangu, jee wewe kwa ufahamu wako nafasi stahili au stahiki yangu ni ipi?!.

Paskali.
 
Lofa ni neno linalotumiwa zaidi na walevi wa mataputapu wanapokumbushana ufukara wao! Na upumbavu ni neno la kiBiblia sasa kule seminari neno hili hutumika sana kuwaamsha wale wazubaifu. Na mara nyingi mseminari anayeoa mwanamke 'aliyeachwa' na mwanamume mwingine huitwa mpumbavu kwa sababu anaubeba 'upumbavu' wa yule mwanamke aliyeachwa, kwani mwanamke mpumbavu ndiye huvunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe!!
 
We Pascal ni lofa na mpumbavu, hilo ni tusi au tukano?

Usituchezeshe na kubadili badili maneno. Literal meaning of stupid person is stupid, likewise simpleton is simpleton!

Having senses in your body makes you feel and respond accordingly. Fooling us 'I'm not member of any p party' is total lie! From my previous sentence above, u must've a latent kinda of interest with Ukawa or ccm.

Stop from mundane political analysis
 

Mkuu Ndagla, asante kunishtua!.

[/B][/FONT]
Mkuu Emalau, kwanza asante kwa uzi huu ambao pia unanipa fursa ya kupata mrejesho wa kile nilichokiongea leo asubuhi pale star TV.

Naomba kuanza k
wa msisitizo kuwa kumtukana mtu mpumbavu au lofa, ni kumtukana tuu lakini sio kumtukana matusi!. Kuna kutukana na kuna kutukana matusi, sio kila kutukana ni kutukana matusi, ila kila kutukana matusi ni kutukana!.

Neno Mpumbavu
sio tusi, wala neno lofa sio tusi!, bali ni matukano!.
K
wa faida ya wale ambao hawakutazama na kusikia nilisema nini,
Hiki ndicho nilicho
sema.
Namfahamu Mkapa, katika kipindi chake chote cha miaka 10, mimi tayari nilii
shakua mwandishi, nimemcover sana na nimesafiri nae kwenye baadhi ya ziara zake hadi za nje ya nchi!, nikasema Mkapa ni hot tempared man, yaani mtu anayehamaki wka haraka na anayekasirika kwa urahisi, nikatolea mfano mahojiano yake na Tim sebatian katika kipindi cha Hard Talk, kilichorushwa na BBC TV, Mkapa lihamaki hadi akaulizwa "are you angry Mr. President?", akajibu "Yes, I'm very angry!". (BBC World Hardtalk with Tim Sebastian - YouTube) hivyo nikasema Mkapa alitukana kwa sababu amekasirika, ila matukano hayo sio matusi!, na hawezi kushtakiwa kwa sababu hakutaja jina la mtu yoyote, ila kilichoandikwa na gazeti la Mawio kumjibu Mkapa, ni matukano ya matusi, ni uchochezi na yanashitakika

Nika
sema hata Nyerere alipokasirika alikuwa anatukana tena sio mara moja wala mbili ameatukana watu wapumbavu, wajinga, wahenzi, wahuni, mahayaani, mazuzu, kaburu, na hadi kutukana ka kikabila kama "manzi ga nyana!", etc, ila vyombo vya habari havikushupalia matukano hayo!.

Nika
sema kwa level ya Mkapa kama rais mtaafu hakupaswa kutukana nikasema its inappropriet, sio sahihi, nikasisitiza wenye jukumu la kumkanya Mkapa ni Tume ya Uchaguzi na Msajili wa vyama!.

Pia nika
sema kuna waandishi makasuku, ambao kila watakalolisikia, wataliandika kama lilivyo kama wafanyavyo kasuku yaani 'parroting journalim', na kuna waandishi maripota ambao kile watakachokisikia watakitafakari na kuripoti kile tuu kitakachoisaidia jamii. Pia nikazungumzia wajibu wa vyombo vya habari wakati wa uchuguzi, ni kuwasaidia watanzania wafanye informed decision kuchagua kiongozi bora.
Hi
sia ni haki ya kila mtu ambayo unao uhuru nayo kwa asilimia 100% kuhisi chochote juu ya jambo lolote au kumhusu mtu yoyote, hakuna mwenye uwezo wa kuzuia hisia za mtu yoyote!.

Lakini unapohi
si jambo ambalo sii la kweli, then hisia hizo ni za uongo, kwa vile mimi sio mwana CCM siwezi kukubishia kama CCM wamepanga watu wao kwenye baadhi kujifanya achambuzi ili kuitetea CCM. Mimi sii manachama wa CCM, wala chama chochote cha siasa, hivyo sijapangwa na yoyote wala sijakwenda kutetea lolote bali nilisisitiza watanzania tuwe tayari kuupokea ukweli hata ukiwa ni ukweli mchungu kiasi gani, ndio ukweli wenyewe!
Kwa vile ndio umeniona kwa mara ya kwanza nikijivisha nafasi isiyo ya kwangu, jee wewe kwa ufahamu wako nafasi stahili au stahiki yangu ni ipi?!.

Paskali.


Kamwambie baba yako mpumbavu na lofa, then uje tena humu.
 
Wewe ndio unamtindio wa ubongo ndio maana hutaki sikia habari tofauti na uliyozoea, utazuiaje MTU kutoa maoni yake juu ya suala lililotikisa nchi? Asitoe wala kulijadili Kisa emalau na kundi lake watachukia, tumefika huko kweli?
Mbona wengi wanayasema ya auna hii, na hayajawa habari Kama la Mkapa? Acha UPUMBAVU NA ULOFA kijana, think critically!
 
Mpumbavu ingekuwa tusi basi biblia ingekuwa ya kwanza kufungiwa maana neno mpumbavu limetajwa zaidi ya mara 10
 
Neno mpumbavu ni tusi kubwa sana maana mpumbavu katika biblia ni mtu asiyemjua mungu kabisa

wala hawezi kumjua mungu kwa namna yeyote

kuwaambia watanzania kwamba ni wapumbavu wasiomjua mungu wakati nchi hii imejaa wakristo na waislamu ni tusi kubwa sana.anayetetea hajielewi kabisa
 
Udogo au ukubwa wa neno ni vile unavyolifikiria, turudi kwenye mazingira ya Mzee Mkapa kutamka maneno yale alikusudia nini? Kudhalilisha au kutaadhalisha?

Na je alimtusi nani? Mwananchi wa kawaida, viongozi waliohama CCM au wa upinzani?

Nini sababu ya kutusi huko? Tafsiri anayoifahamu Mzee Mkapa kuhusu neno ''Mapinduzi'' ni ipi?... Ipi hoja yake kabla ya kutukana?

Tuanzie hapo.
 
Paschal Mayala analazima kusema uongo kulinda kibarua chake cha kutangaza nane nane na saba saba
Mkuu kivava, kwanza naheshimu mchango wako ndio maana nimekutupia like, pili ili watanzania tuweze kusonga mbele, ni lazima kwanza tuukubali ukweli, hata ukiwa ni ukweli mchungu kiasi gani!, pili tuukatae uongo, na kujitahidi kadri ya uwezo wetu, kuuepuka uongo. Katika mada hii ukweli halisi bila chenga ni kuwa maneno wapumbavu na malofa sio matusi, bali ni matukano tuu, kuna matukano ya kawaida, yaani kutukana tuu, na matukano ya matusi, yaani kutukana matusi, hivyo naisitiza mimi sijasema uongo kutetea kibarua changu!.

Kwa kusaidia zaidi, naomba tutembelee kamusi ya Kiswahili sanifu na kutafsiri maneno yafuatayo,
apumbavu, lofa, matusi, kutukana, na kutukana matusi.

Paskali.
 
Viongozi wa CCM wanawadharau sana Watanzania,hayo matusi yote tuliyoitwa yanatosha sasa TUTAKUTANA OCTOBER 25 kwenye kupiga kura.
 
Pasco wa JF manza na nyaga maana yake nini? Maana tafsiri ya Mwalimu ni kwamba "Wote watapata msukosuko" aliyetoa na aliyepokea wote manza na nyaga......
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kivava, kwanza naheshimu mchango wako ndio maana nimekutupia like, pili ili watanzania tuweze kusonga mbele, ni lazima kwanza tuukubali ukweli, hata ukiwa ni ukweli mchungu kiasi gani!, pili tuukatae uongo, na kujitahidi kadri ya uwezo wetu, kuuepuka uongo. Katika mada hii ukweli halisi bila chenga ni kuwa maneno wapumbavu na malofa sio matusi, bali ni matukano tuu, kuna matukano ya kawaida, yaani kutukana tuu, na matukano ya matusi, yaani kutukana matusi, hivyo naisitiza mimi sijasema uongo kutetea kibarua changu!.

Kwa kusaidia zaidi, naomba tutembelee kamusi ya Kiswahili sanifu na kutafsiri maneno yafuatayo,
apumbavu, lofa, matusi, kutukana, na kutukana matusi.

Paskali.

nilataman kupiga simu studio sikubahatika nimesikia sana mkiongelea kasha ya richmond nikajiuliza inamaana bwana mkinga na paschal hawajui kadha nyingine wanajua hiyo moja tu epa hamkuitaja kama kashfa escrow kwenu sio kashfa hata change ya rada je mnatumiwa na nani au ndio kusema ccm wanatumia njia ya media kupambana na adui hata pole pole is the same
nibora kushirikisha akili yako yote wakati wakufikiri kuliko kulishirikisha tumbo lako.
mfano report ya CAG iliongelea ufisadi ndani ya wizara ya ujenzi sijasikia mkii gusia hata kidogo
au nduo kusema huu ndio mda wenu wa kuezeka
 
Pasco mayalla ni mwandishi kanjanja zaidi ya maelezo wa ccm ni.wale walamba viatu vya wafalme hana jipwa pasco kabaki jina
 
Back
Top Bottom