Recent content by BABA LEA WATOTO

  1. B

    Nauza mahindi meupe. Napatikana Mbinga, Ruvuma

    Kwa bahati nzuri hayo ndio MAHINDI yaliyo mengi kwa mwaka huu kwani yale yenye punje Nene kulikuwa na uhaba wa mbegu kwa msimu huu wa kilimo, hivyo wakulima wakalazimika kupanda mbegu hizo za punje ndogo.
  2. B

    Nauza mahindi meupe. Napatikana Mbinga, Ruvuma

    Ndiyo mkuu hizo ndio gharama halisi za mzigo kwa sasa Hadi Dodoma, na kuhusu kukauka ondoa shaka huku nilipo MAHINDI yanaanza kukauka mwezi wa nne mwishoni mvua za masika zinapokoma, hivyo MAHINDI yamekauka mwezi wa Tano na sita wote shambani muda huu ndio wanavuma. Kuhusu uhakika wa mzigo na...
  3. B

    Nauza mahindi meupe. Napatikana Mbinga, Ruvuma

    Kwa yeyote mwenye kuhitaji mahindi meupe naomba tuwasiliane. Kiasi ni kulingana na mahitaji Yako ila si chini ya Tani 30. Bei kwa sasa ni shilingi 600@kg, hapa inajumuisha Bei ya MAHINDI, gharama za kupeki pamoja na ushuru. MAHINDI yanapatikana Mbinga mkoa wa Ruvuma. Mawasiliano, 0758719493
  4. B

    Natafuta mkulima mwenye stock ya soya

    Uko wapi na offer yako ngapi?
  5. B

    Nauza mahindi- niko Mbinga, Ruvuma

    Kwa yeyote mwenye kuhitaji mahindi meupe naomba tuwasiliane. Kiasi ni kulingana na mahitaji Yako ila si chini ya Tani 30. Bei pia ni kulingana na bei ya soko Kwa wakati husika.
  6. B

    Gharama za mobile banking zinatisha, ni ujambazi kwelikweli

    Na ukitaka kujua Kama ni uwizi siku hizi benki nyingi hazijikiti kuweka ATM mashine nyingi, ama branches bali kuwapa mawakala ambako makato ni makubwa
  7. B

    Nimeachwa tena

    Wanawake mnazingua sana....Ila Kama uliyoyasema ndivyo yalivyo basi mshikaji naye kazingua sana!
  8. B

    Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

    Unaishi Toto jijini mitaani, inahitaji kiburudisho vuta sweet menthol ni yako!! Iwe mchana au usiku upite jangwani au porini safari ni safari ...safari lager.
  9. B

    MSAADA- CHIMBO LA SPARE ZA PIKIPIKI ZA MCHINA

    Habari ndugu zangu, naomba kwa yeyote mwenye kujua chimbo/sehemu panapouzwa vifaa/spare za pikipiki za mchina Kama SAN LG, HAOUJUE NA SINORAY kwa bei ya jumla na bei rafiki tafadhari naomba kuelekezwa.
  10. B

    KERO: Baadhi ya Walimu wa boarding sio waaminifu

    Pole, hili swala ni kweli lipo kwa baadhi ya walimu wasiowaaminifu Kama ulivyosema ila haya pia yanachangiwa na baadhi ya wazazi kwani baadhi hawataki kupitia njia rasmi zilizowekwa na shule husika, kwa mfano. Shule inataka pesa na mawasiliano yote vipitie kwa mwl wa malezi ila mwanafunzi hataki...
Back
Top Bottom