Recent content by BABA LEA WATOTO

  1. B

    JamiiForums Tanzania Bunge limechoka kujificha, sasa ni wazi kuwa si chombo wakilishi cha wananchi bali cha kumuwakilisha Rais

    Kwa mijadala ya Jana bungeni, hakika Bunge limekata mizizi yake ya kuwa chombo cha kuwawakilisha wananchi Kwa mujibu wa katiba ya nchi Bali rasmi sasa ni CHOMBO cha kulinda na kuwakilisha taasisi ya Urais. Ajenda kuu iliyopo sasa uwe unataka ama hutaki, iwe unaizungumzia moja Kwa moja ama...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Mkutano ujao, CCM mtakua mnamjadili Bishop Gwajima au?

    Gwajima anahoja, na sio hoja yake peke yake ni ya watanzania wengi. Tatizo la CCM inataka ikiwaambia watanzania nyuma geuka, kulia geuka waitikie Tu hata kama kuna mashimo.
  3. B

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya Njombe to Songea ni mbovu sana viongozi na mamlaka husika mpo wapi

    Mkuu CCM wanamgodi huko WA makaa ya mawe wanafahamu kila kitu kuhusu hizo barabara
  4. B

    JamiiForums Tanzania Serikali ijenge hospitali yake ya rufaa ya mkoa wa Mwanza, iachane na Bugando

    Ndugu mleta mada hivi Kati ya kanisa na serikali Nani alianza kumuhitaji mwenzake ili kufanya KAZI pamoja mbona unaongea as if Kanisa lilikuwa halijiwezi hivyo liliomba serikali iingilie Kati?? Ukisema hivyo kama unavyosema basi ujue ni taasisi/majengo mengi itabidi zirudi Kwa Kanisa.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Mbona unaijibia serikali?? Je wewe ni msemaji WA serikali??
  6. B

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Special Thread: Karibu tukuhudumie, tunaomba Maoni, Ushauri, Malalamiko, na hata Pongezi

    Hongera Kwa taasisi ya MOI kuanzisha ukurasa wenu RASMI hapa ni matumaini yangu kwamba mtapokea maoni yetu na kuyafanyia KAZI , na kimsingi ilitakiwa taasisi zote za umma na mashirika yake kuwa na ukurasa hapa, kwani hapa ndio unapata maoni ya moja Kwa moja toka Kwa wadau.
  7. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba mnishauri kuhusiana na huyu dada yangu mkubwa

    Kwani umemuuliza wewe binafsi akakwambia nini kimejiri?? Ushauri wangu, mfuate dada yako, muulize na mwambia asikufiche hata chembe juu ya nini kimejiri baada ya kupata ABC zake ndio uje hapa tushauri kama utashindwa peke yako. Binafsi naogopa kushauri bila kujua shiida nini maana ndoa zinamengi...
  8. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Songea: Viongozi watatu CHADEMA, Mwimbaji nyimbo za chama na Wanachama wawili wakamatwa na Jeshi la Polisi

    Ninachokiona hapa CCM walichukulia Ruvuma kama ngome Yao ya kudumu, sasa hawaamini kuona wananchi wanawageuka na zaidi ndio nyumbani Kwa Emmanuel Nchimbi, KATIBU mkuu wa CCM na mgombea mwenza wa Urais 2025, hivyo wanapata kiwewe na kufanya kamata ya CHADEMA. Ikumbukwe huko ndio TL alikokamatwa...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa chuo kikuu wapigana kisa mme wa mtu, hawaoni umuhimu wa elimu kuwatoa kimaisha wanaamini katika ukahaba

    Du nimejikuta nacheka comment yako....hivi neno halooo linamaanisha nini?
  10. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwanasheria wa CHADEMA: Tume ilikosea kusema CHADEMA haina haki ya kushiriki kwenye Uchaguzi. Kailima ajitokeze hadharani kufuta kauli yake

    Hivi kumbe CHADEMA wamesema hawashiriki uchaguzi au mi ndio sielewi?? Bila kutumia jicho la CCM tujaribu kuelewa watanzania wengine wanasema nini, hawa wanasema bila mabadiliko ya sheria na taratibu za uchaguzi basi hakuna uchaguzi yaani ni Sawa na kazi bure, na wametoa ufafanuzi kuwa...
  11. B

    JamiiForums Tanzania The dark side of business

    Duu hizi codes zinahitajika D mbili yaani
  12. B

    JamiiForums Tanzania Walimu wana maisha magumu sana

    Vipi walichokuwa wanakufundisha ulielewa na Leo kinakusakdia??
  13. B

    JamiiForums Tanzania Hawa ndo waekezaji wa kichina

    Chama cha kikomunist cha china ni rafiki mkubwa WA CCM, hatujui wamekubaliana nini kwenye urafiki wao
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MSAADA WA KUUNGANISHWA NA NDUGU WA PRISCUS ALOYSE MATEI (R.I.P).

    Sorry mkuu taarifa za awali nilizonaso naishia hilo Jina la MATEI, niliambiwa ana kaka yake Anaitwa Priscas Matei dada zake ni Monica MATEI, Pendo na Geno MATEI!
  15. B

    JamiiForums Tanzania Anza mwaka kwa kufanya makadirio ya kodi kwa wakati: Fanya makadirio ya kodi ya mapato mapema na epuka adhabu

    Duu kumbe ule muda WA kuulizwa "tuko watatu unatuachaje" mara utasikia haitoshi ongeza!!
Back
Top Bottom