Recent content by Baba Kisarii

  1. Baba Kisarii

    Mambo matano yanayoweza kukufanya usistahili kuwemo katika ndoa

    Soma vizuri post yako jibu lako lipo huko huko6
  2. Baba Kisarii

    Mambo matano yanayoweza kukufanya usistahili kuwemo katika ndoa

    Hapo unawaongelea Mchengerwa na Wanu.. You are right.
  3. Baba Kisarii

    Mambo matano yanayoweza kukufanya usistahili kuwemo katika ndoa

    Ndoa itakushinda Iwapo... 1. Ikiwa tendo la ndoa halina maana kwako.. Ipo hivi... Katika ndoa, tendo la ndoa si la hiari - ni la msingi. Ikiwa hutaki kuduu, tafuta usaidizi kutoka kwa marafiki na jamaa, na fikiria kuasili watoto ila isiingie katika ndoa. . 2. Ikiwa unataka kutenganisha...
  4. Baba Kisarii

    Sijawahi kuona Waziri Mkuu anapwaya kama huyu wa sasa

    Ni mbwa wa Samia huyo.
  5. Baba Kisarii

    TANZIA Jenista Mhagama, Mbunge wa Peramiho afariki dunia

    Sasa wameweka kambi huko msibani Peramiho
  6. Baba Kisarii

    PostGE2025 Tume ya Jaji Chande yaomba wananchi watume taarifa za uvunjifu wa amani zilizotokea wakati wa uchaguzi

    Hii tume ni maalum kwa ajili ya kupatanisha wanandoa Mr & Mrs Mchengerwa. Kama wanataka video wamtafute Larry Madowo
  7. Baba Kisarii

    Kiti kiko wapi...! Kigoda je..?

    Mwenyekiti haondokagi na kiti 😂
  8. Baba Kisarii

    Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

    Ni mbwa wa samiaSamia tu awazaye ushindi wa kizwazwa.. Hebu jitambulishe kama wewe ni mbwa au ng'ombe wa Samia. Who are you?
  9. Baba Kisarii

    Matukio yanayojiri Siku ya Uhuru wa Tanganyika Disemba 9, 2025: Hali yaonekana kuwa shwari maeneo mengi nchini

    Twende taratibu jomba, hebu jibu swali langu kwanza kisha uongezee maoni yako... Jibu NDIYO au HAPANA
  10. Baba Kisarii

    Nimenusurika Kupigwa Risasi na Polisi usiku huu

    Mwanaume unapigaje goti? Umetuaibisha sana
Back
Top Bottom