kila binadamu ni mtu mwenye akili,lakini tofauti huja kama anaakili timamu,au akili isiyotimamu,akili ya kuchanganua mambo au la, akili ya uelewa au ugumu wa kuelewa,.
ni kweli kagame ni balaq, akiamua anamchakaza jk within a minute kwa sababu ameshapenyeza majasusi wake katika taasisi nyeti hapa nchini, hakika wingi wa jwtz usiwape kibuli ya kuwa wanaweza kupambana na kagame,cha muhimu jk afanye negotiation mapema kabla kagame hajamchakaza
serikali yetu inaongozwa na mihemko ya ajabu, watafute kwanza walimu wa kutosha, maabara,maktaba na madawati, tablets bongo, mbona watazipasua kwa wiki moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.