Recent content by Baba Ilankunda

  1. Baba Ilankunda

    Mwanasheria Mkuu wa TBS kortini kwa mashtaka ya kuishi na kufanya kazi nchini bila kibali

    Hii issue wala sidhani kama inawezakuwa na ukweli wowote ndani yake. Bwana Ali Mwambapa Afisa Uhamiaji hapo Makao makuu mwaka 2015 February as katika mambo yangu huwa sijui na sielewi kitu kinachoitwa Rushwa, na huwa niko tofauti na mambo hizo, Mwanzoni nilikuwa nawasiliana naye akiniambia kila...
  2. Baba Ilankunda

    Walimu wote nchini watakiwa kuchangia pesa ya mbio za mwenge wa Uhuru nchini 2017

    Nadhani waacheni tuu wachangie kwani wao Umoja ni nguzo yao. Sambamba na hilo wao ni wasomi sana na waelewa sana wa sera na siasa ya ujamaa ambayo inasisitiza kuhusu UMOJA. Mapinduzi ya pili ndani ya Tanzania yataletwa na waalimu mwaka watakapoweza kuwa wawazi. Tujaribu kufikiria kwa nini kada...
  3. Baba Ilankunda

    Zitto umewaponza Machali na Mkosamali

    Siyo mdogo wake tafadhali bali Edga ni mkubwa wake Felix ...........................
  4. Baba Ilankunda

    Zitto umewaponza Machali na Mkosamali

    Edga Mkosamali - ACT Wazalendo alikuwa CCM by Early 2015 Felix Mkosamali - NCCR Mageuzi
  5. Baba Ilankunda

    Mgogoro CUF: Jaji Mutungi amchambua Mtatiro na wenzake, anawatambua Prof. Lipumba na Seif

    ....Nauli ya Bombardier Dar-Kigoma- Dar ni shilingi 610,000... Nauli ya Fastjet Dar-Johannesburg-Dar 680,000....halafu mnibishie kuwa Kigoma sio Nchi..... kwanza Jua huwa linazama saa 2 usiku... *watupe nchi yetu bhana* CC: All people of Kigoma, Na tuanze kupinga udhalimu na udhalilishaji...
  6. Baba Ilankunda

    Ni nini hatma ya UKAWA kuelekea Uchaguzi 2020?

    Siasa za Wakigoma wanazijua watu wa Kigoma. Mnyamahanga hutaambua chochote zaidi ya kukutana na mjukuu aitwaye Majuto. For your reference consult Mr. Makamba at his time of being the RC over there etc. Mambo ya Machali km unajitambua utakuwa unajua kuwa alihamia ACT mapema sana. Mkosamali kama...
  7. Baba Ilankunda

    Pamoja na VAT, Tanzania yaongoza kwa bookings za Utalii Afrika na Duniani!

    Countries ranked by International tourism, number of arrivals - Africa Countries ranked by International tourism, number of arrivals
  8. Baba Ilankunda

    Wateja na wadau wa reli ya TAZARA walalamikia kodi ya VAT kwenye mizigo ya transit

    PRESS RELEASE CLARIFICATION OF VAT ON INTERNATIONAL TRANSPORT AND ANCILLARY SERVICES RENDERED ON TRANSIT GOODS THROUGH THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA All Stakeholders and Public at large are hereby informed that since the inception of VAT Act 2014 Cap. 148 in July, 2015, TRA have been...
  9. Baba Ilankunda

    Mwenye ufahamu wa hii speech tafadhali....when Am looking at Africaa

    https://www.youtube.com/watch?v=Vm5iS69TZSY Niliipata hii japo nayo naona haijakamilika vizuri na it is the edited one
  10. Baba Ilankunda

    Ni Kosa kuendesha gari Zanzibar Ukiwa na Leseni ya Tanzania....

    For sure Baada ya kusoma ujumbe huu na kutafakari kwa kina nimeamua kuingia mitini na kutafuta means to withdraw the case before I face the pinch of sweatness in spite of Sweetness. Otherwise am scared of having the worse moments for the thing costing not more than 80,000TZS. Next week I shall...
  11. Baba Ilankunda

    Ni Kosa kuendesha gari Zanzibar Ukiwa na Leseni ya Tanzania....

    Nilikuwa siamini kama kweli hii yaweza kuwa kweli, Jana nyakati nakuja kazini nilikamatwa na trafic Police kwa kosa la kuendesha gari nikiwa ndani ya Nchi ya Zanzibar kwa kutumia Leseni ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwa na Foreigner Driving License Permit. Let me go to the Court by...
  12. Baba Ilankunda

    Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

    Kwa vile nchi hii haiongozwi kwa style ya ramli, Labda ungetusaidia tusiojua mandate ya Pengo kutoa RB ipo wapi kwenye katiba ya Tanzania au ni kifungu gani cha sheria kinamruhusu yeye kumwita mtu kwenye mahakama yake ya Pangoni, nyumbani kanisani au kokote nje ya Mahakama za Serikali ya...
  13. Baba Ilankunda

    Kama kuna Polisi mwenye Division One, basi vyeti si vyake

    Ni uzembe wa kufikiri kukiri kuwa Polisi woote hakuna ambaye alipata Division One kwenye mtihani wa Form Four or Six. Tunao wengi askari wenye character hizo............. Pia ni upofu na ulemavu kweli wa akili kufikiri na kuamini kuwa polisi wanayafanya yale wayatakayo wao....No thank you...
  14. Baba Ilankunda

    Maajabu ya Tanzania

    Dhambi kubwa kuliko zote duniani na Mbinguni ni Uoga....Hii ndo dhambi ambayo inatuadhibu. Pili Tanzania hakuna Amani kuna Utulivu tuu.
  15. Baba Ilankunda

    Mwl.Nyerere Speech in Ottawa Canada 17th August 1998

    COMPULSORY READING: Address by Mwalimu Julius Nyerere, Former President of Tanzania and Chairman of the South Centre, at the Quinquennial General Conference of the Association of Commonwealth Universities. Ottawa, Canada: 17th August, 1998. Mr. Chairman; Your Excellencies: Ladies and...
Back
Top Bottom