Ni nini hatma ya UKAWA kuelekea Uchaguzi 2020?

Ni nini hatma ya UKAWA kuelekea Uchaguzi 2020?

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,257
Reaction score
3,904
TUKIWA TUMEBAKIZA miaka minne kufanya uchaguzi mkuu wa 2020 unadhani nini kitatokea ndani ya UKAWA........

Ikumbukwe 2015 baada ya uchaguzi kumalizika 2020 ,

NCCR ilipata kiti 1 cha ubunge kutoka wabunge 5 hali iliyosababisha chama
kukosa ruzuku ......

Mtatiro ataweza tena kugombea jimbo la Segerea au atarudi Ubungo au Musoma chini ya UKAWA.

CUF ambayo kabla ya UKAWA ilikuwa inapokea ruzuku ya milioni 300 lakini imeshuka sasa hadi milioni 120 kutokana kutikusimamisha mgombea uraisi jee safali hii itakuwaje, watasusia tena uchaguzi..........

Majimbo ya uchaguzi chini ya ukawa 2020 wataweza kukubaliana kusimamisha mgombea mmoja kama 2015 majimbo karibia 180 walishidwa kuelewana jee 2020 wataweza kuelewana,.....

Vipi kuhusu CHADEMA , CUF, NCCR, NLD kisiasa wataweza kupanda kisiasa au ACT ndio kitakuja kuwa chama kikuu cha upinzani.

Je, mgombea uraisi 2020 atatokea chama kipi kati ya CHADEMA , CUF, NCCR, NLD kupitia UKAWA, .......

Kuna mengi ya kusema lakini kwa leo
Hebu tuishie hapa kidogo.
 
Ukawa ilivamiwa na waroho wa.madaraka, waanzilishi wa ukawa ukiwauliza walikuwa mission tofauti na wageni waliokatwa mikia.

Founders wa ukawa Mnawajua waliweka mpaka utaratibu wa namna gani atapatikana mgombea mmoja wa urais hadi form zikaanza kutolewa na vyama.

Kuna wingu tatanishi lilipita dizaini ya zingaombwe likaharibu utaratibu na kuaminisha watu kuwa huyu ndiye masiha mleta ushindi. Yaliyotokea ndio hayo.

Unauliza hatma ya.ukawa?????
Hivi kwa akili yako Mgombea wa Ludlum wa Chadema atakubali asigombee, wakati ashatangazia umma?

Ukawa ilikuwa coalition of willing baada uchaguzi aliyepata kapata aliyekosa maumivu.

LETISIA MOSORE alimuonya sana Mbatia watakosa wabunge na kweli kina Mkosamali na Machali wamepigwa chini Kigoma. Wangewekeza kwa Kafulila na kulinda kura angeshinda. Nccr kishanuka tayari.

CUF ilkuwa washinde Segerea lakini walichofanyiwa na wenzao ni majanga, yule dada wa chadema aligawa kura za mtatiro CUF na kumfanya wa chama tawala ashinde.

Mtatiro aliishia kuandika makala, kuwa Jimbo watalikosa na wakalikosa kweli.

Hatma ya Ukawa,?
Swali gani hilo, ni mpaka pale uroho wa utakapowatatoka na kuhamia wote chama kimoja na kukubali kuua vingine. Lakini hii kugawana mbuzi mmoja familia kumi hawatoki na hawatatoka milele.
 
Ukawa ilivamiwa na waroho wa.madaraka, waanzilishi wa ukawa ukiwauliza walikuwa mission tofauti na wageni waliokatwa mikia.

Founders wa ukawa Mnawajua waliweka mpaka utaratibu wa namna gani atapatikana mgombea mmoja wa urais hadi form zikaanza kutolewa na vyama.

Kuna wingu tatanishi lilipita dizaini ya zingaombwe likaharibu utaratibu na kuaminisha watu kuwa huyu ndiye masiha mleta ushindi. Yaliyotokea ndio hayo.

Unauliza hatma ya.ukawa?????
Hivi kwa akili yako Mgombea wa Ludlum wa Chadema atakubali asigombee, wakati ashatangazia umma?

Ukawa ilikuwa coalition of willing baada uchaguzi aliyepata kapata aliyekosa maumivu.

LETISIA MOSORE alimuonya sana Mbatia watakosa wabunge na kweli kina Mkosamali na Machali wamepigwa chini Kigoma. Wangewekeza kwa Kafulila na kulinda kura angeshinda. Nccr kishanuka tayari.

CUF ilkuwa washinde Segerea lakini walichofanyiwa na wenzao ni majanga, yule dada wa chadema aligawa kura za mtatiro CUF na kumfanya wa chama tawala ashinde.

Mtatiro aliishia kuandika makala, kuwa Jimbo watalikosa na wakalikosa kweli.

Hatma ya Ukawa,?
Swali gani hilo, ni mpaka pale uroho wa utakapowatatoka na kuhamia wote chama kimoja na kukubali kuua vingine. Lakini hii kugawana mbuzi mmoja familia kumi hawatoki na hawatatoka milele.


Siasa za Wakigoma wanazijua watu wa Kigoma.
Mnyamahanga hutaambua chochote zaidi ya kukutana na mjukuu aitwaye Majuto. For your reference consult Mr. Makamba at his time of being the RC over there etc.
Mambo ya Machali km unajitambua utakuwa unajua kuwa alihamia ACT mapema sana.
Mkosamali kama unajielewa utakuwa unajua kuhusu tofauti kati ya familia baina ya Edga Mkosamali na Felix Mkosamali.
Yote yanahitaji kutambua siasa za Kigoma sio siasa za kizaramo au kizanaki...............

KOPO
 
Hivi ni nani atathubutu kumpa kura tena baba yake na Jes.ca? Anaacha kununua madawa kwa ajili ya wagonjwa, yeye ananunua ndege. Al-Jazeera wameripoti leo kwamba watanzania wanakufa kwa maelfu kutokana na ukosefu wa dawa mahospitalini. CCM ndiyo adui wa watanzania, tushashtuka sasa.
 
Ukawa ilivamiwa na waroho wa.madaraka, waanzilishi wa ukawa ukiwauliza walikuwa mission tofauti na wageni waliokatwa mikia.

Founders wa ukawa Mnawajua waliweka mpaka utaratibu wa namna gani atapatikana mgombea mmoja wa urais hadi form zikaanza kutolewa na vyama.

Kuna wingu tatanishi lilipita dizaini ya zingaombwe likaharibu utaratibu na kuaminisha watu kuwa huyu ndiye masiha mleta ushindi. Yaliyotokea ndio hayo.

Unauliza hatma ya.ukawa?????
Hivi kwa akili yako Mgombea wa Ludlum wa Chadema atakubali asigombee, wakati ashatangazia umma?

Ukawa ilikuwa coalition of willing baada uchaguzi aliyepata kapata aliyekosa maumivu.

LETISIA MOSORE alimuonya sana Mbatia watakosa wabunge na kweli kina Mkosamali na Machali wamepigwa chini Kigoma. Wangewekeza kwa Kafulila na kulinda kura angeshinda. Nccr kishanuka tayari.

CUF ilkuwa washinde Segerea lakini walichofanyiwa na wenzao ni majanga, yule dada wa chadema aligawa kura za mtatiro CUF na kumfanya wa chama tawala ashinde.

Mtatiro aliishia kuandika makala, kuwa Jimbo watalikosa na wakalikosa kweli.

Hatma ya Ukawa,?
Swali gani hilo, ni mpaka pale uroho wa utakapowatatoka na kuhamia wote chama kimoja na kukubali kuua vingine. Lakini hii kugawana mbuzi mmoja familia kumi hawatoki na hawatatoka milele.
Tatizo gia!
Kama waamzilishi wa ukawa walishaodoka, automatically ukawa ilishakufa, kilichopo ni chadema kujiita ukawa!
 
Back
Top Bottom