Dawa ipo na haitaji pesa yoyote, dawa ni kutosifia shamba la mpunga wa mwenzako, Kwa mfano mkiwa njiani mkiona shamba limenawili, pita na zako kitendo Cha kulifisia tu na mpunga wako unahama. Samahani sana Kwa wachawi.
Habari wanajamiiForums, kero ya barabara ya Mbande hadi Mvuti, tunaomba wanaohusika wajitathimini.
Mkandalasi hayupo site na barabara ni mbovu, hasa eneo la soko la Mbande.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.