msongola hospital

msongola hospital

baba gabi

Member
Joined
Apr 11, 2022
Posts
12
Reaction score
10
Kwanini hospital ya msongola ilala Ina wapima VVU wamama wenye watoto wenye mwaka 1 bila ridhaa yao?
 
Kwanini hospital ya msongola ilala Ina wapima VVU wamama wenye watoto wenye mwaka 1 bila ridhaa yao?
Kama hutaki kupimwa usipewe majibu yatumike kwenye takwimu.
Au nenda private.

Kupima VVU bila ridhaa sioni kama ni jambo baya. Hujaburuzwa sokoni ukapime, umepimwa mazingira sahihi.
 
Kama hutaki kupimwa usipewe majibu yatumike kwenye takwimu.
Au nenda private.

Kupima VVU bila ridhaa sioni kama ni jambo baya. Hujaburuzwa sokoni ukapime, umepimwa mazingira sahihi.
Kwahiyo wanapima bila kutoa ushauri na nasaa?
 
Kama hutaki kupimwa bakia nyumbani, kunywa mwarobaini.

Lkn ukisogeza pua hospitalini ni lazima utapimwa ili kuona kama unafanya ukahaba na umeambukizwa vvu ama la!

Hii inalisaidia taifa kupata takwimu za maambukizi ya vvu.
 
Kwanini hospital ya msongola ilala Ina wapima VVU wamama wenye watoto wenye mwaka 1 bila ridhaa yao?
ungepimwa presha bila ridhaa ungelalamika? au kwa sababu kupata ukimwi kunanasibishwa na ngono?
na kwanini usipimwe ili uijue status Yako.
 
Back
Top Bottom