Mimi kuna wimbo nautafuta una maneno haya hapa
Si ulisema.kwamba unataka kuniambia,//
Nambieee nambie mpenzi//
Naona.muda unazidi kwenda baby//
Na.masaa yanakatika lady//
Sijajua kitu unachotaka kunambia//
Nambieee nambie mpenzi...
N
Nwasilisha
Sasa laki nne tuite nini...mwanza wa pesa ni tsh1 na kusonga mambele mm hadi 1100 nimetoa jana tu... Nilikwama mwana akanitumia na ya kutolea ndo ikatoka hiyo.... Halafu sina habari wala nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.