Kwanza jinalake tu linamajisifu,alafu inaonuesha hajawah pata msoto mtaan nhoja upihwepigwe na jua ukizunhuka zunguka na bahasha zako ndo itatia akili ya ajira.
Kama vitu ni vyakwake hakuwa na haja ya kuchanganyikiwa,alitakiwa akatoe taarifa polisi then apewe loss report kisha aanze mchakato wakutengeneza documents zingine,hizo kadi za pikipiki na gari hazina shida TRA wanaweza ku reprint muhim uwe na genuine reasons.Wasiwasi wangu inawezekana huyo...
Jk leo amekuwa muwazi sana pale aliposema mchagueni JP.magifuli ili atakapo staff apate usingizi,anahofia ukawa wakichukua nchi lazima investment zake zote zihakikiwe so lazima apoteze usingizi.Chagua Lowasa chagua chadema chagua ukawa achana na pombe:beer::beer::beer::beer:
Katika mazungumzo yake na waandish wa habari muda mfupi uliopita Dr.Slaa alitamka kuwa mshenga wa Lowasa (Ngwajima) alimconvice na mambo mengi ikiwemo na hili la rushwa....eti Lowasa yuko vizuri amejipanga,anahela za kutosha na ameshawagawia baadhi ya maaskofu.My take :hiv kwa akili za kawaoda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.