Recent content by Baba Collins

  1. B

    JamiiForums Tanzania Pata ushauri wa bure wa kesi yoyote, Ardhi, Jinai na Madai (Thanks Giving Days)

    Habari wakuu....Ninaomba kujuzwa kidogo juu ya suala la makato ya mshahara wa mfanyakazi. Je,inawezekana katika mazingira yoyote yale kukata mshahara wote wa mfanyakazi? Asante
  2. B

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, wafanya Zoezi la Utayari

    Amani na utulivu ni upi hasa wakati watu kibao wameuwa katika mazingira ya hovyo mpaka leo hakuna hata mtu wa kushukiwa,wapeleke wendawazimu wait huko.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Waraka wa Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...

    Huo ni mtazamo wako mkuu,ila hiyo ndiyo kazi hasa ya viongozi wa dini.Kukemea,kuonya,kuelekeza na kushauri. Mwenye masikio na asikie,
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kuelekea uzinduzi wa Album ya A boy from Tandale ya Diamond

    UZALENDO SOI KUAMBUKIZANA UMASKINI,,,
  5. B

    JamiiForums Tanzania Hata kama ni kuswali, ila huu si Ustaarabu jamani

    Suluhisho ni kujenga misikiti itakayo endana na idadi ya waumini,kama ni sherehe basi ihamishiwiwe kwenye misikiti mikubwa au kwenye viwanja vya michezo na sio barabarani.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mbona Raisi Magufuli tunaeambiwa anakubalika na wananchi hatumuoni akishiriki kunadi wagombea wa chama chake?

    Magufuli si mwanachama wa CCM,na wala serikali yake si CCM. Yeye ana serikali yake ya Magufuli.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mrembo Sanchoka asema hajui kupika ugali

    Milioni kumi kupika ugali hajui.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti uoneshaji wa video kwenye mabus ya abiria

    Naunga na wewe kwa 100%, siku moja haya mambo ya kuweka video kwenye flash ikafika sehemu ya X, ilibidi kula mtu ainamishe kichwa chini ya seat. Sijui hawa makondakta na madereva wao huwa hawana aibu?
  9. B

    JamiiForums Tanzania TIA: Nyoka mwenye vichwa viwili mwenye nguvu za ajabu

    Hii si hadithi wakuu,ni habari ya kweli kabisa.Hawa nyoka walikuwepo wengi sana katika misitu minene ya mwambao wa ziwa Rukwa kati ya miaka 80 mpaka mwanzoni miaka ya 90.Lakini kutokana na uhitaji wake na wataalamu wa sayansi ya miti shamba waliwindwa wakaisha.Waambie hao wachina wanaotafuta...
  10. B

    JamiiForums Tanzania IGP: Tunawasaka watu wanaofurahia na kukebehi mitandaoni baada ya askari kuuawa

    Jambo la msingi hapa ndugu IGP Mangu ni kuwasaka mjambazi walioua askari wetu kabla ya kupambana na watu wanaotoa maoni yao mitandaoni.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Ushawishi wa CHADEMA Arusha umepungua sana

    Umetumwa si do you?
  12. B

    JamiiForums Tanzania Habibu Mchange yupo Star TV anaichana CHADEMA

    Jamani ndugu zangu kuna chanel nyingi za kuanglia...bado mnaangalia Star TV? Wamepoteana hao wachumia tumbo.
  13. B

    JamiiForums Tanzania The best

    Always the best!
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kifo cha CHADEMA kimekuwa cha ajabu kweli!

    Mkuu Mbuzimtu, Mpaka sasa CCM wanaomba miezi iende taratibu ili hiyo October isifike mapema.Hizo mbwembwe za Nape kuwa CDM inakufa kwa kasi ni siasa za maji taka tu.Mfano tumeuona huko Sumbawanga kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa ambako kwa matarajio ya wengi tulidhani kuwa bado kuna uelewa...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Atunukiwe PhD Mwl. Christopher Mwakasege

    Na ambao si wazaliwa wa kwanza kinawasaidieaje hicho kitabu?
Back
Top Bottom