Recent content by Baba Caren

  1. Baba Caren

    GE2025 Aggrey Mwanri avunja wajumbe mbavu akiomba kura za maoni

    Wapo watu miaka 40 akizungumza unabaki unamshangaa unajiuliza huyu mtu uwezo wake wa kujenga hoja ukoje...na pia wapo wazee anaweza jenga hoja ukasimama kumpigia makofi...wacha tuwaachie wajumbe
  2. Baba Caren

    RC Abubakar Kunenge: Simu Janja na TV zinazalishwa Pwani na zipo sokoni

    Hizi simu ufanisi wake wa kazi utakua wa mashaka mashaka kama ambavo mkuu wa mkoa alivotoa taarifa kwa mashaka mashaka...kashindwa taja aina ya simu na tv pia
  3. Baba Caren

    Ukifa utawaachia nini Ndugu zako? Huko Kenya, aliyekuwa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Ogolla kawaambia "Good Luck"

    Huyu CDF yuko sahihi na ni mfano wa kuigwa coz mali ni zake kazipambania huku akipewa faraja na familia yake.Nadhani wakati anajitafuta ndugu walijitenga nae ivo wacha aliokua nao warithi mali zake....KILA MTU AFE NA CHAKE
  4. Baba Caren

    ACT Wazalendo: Serikali imuachie huru Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Wasio na Ajira, Joseph Kaheza

    Hahahaha hii nchi bhaana ni changamoto sanaa asa kosa lake liko wapi... #TANZANIA NCHI YANGU
  5. Baba Caren

    LGE2024 Dar: Hatimaye majina ya wapiga kura Sinza B yabandikwa, sababu ya kuchelewa bado haijajulikana

    Huu uchaguzi hauna tofauti na ule wa mwenda zake...Tume huru ya uchaguzi ni kama takataka tu hakuna inachofanya
  6. Baba Caren

    TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

    Kwakweli hajameza ata tonge la WHO ....jamaa hakua na bahati japo cv yake ni kubwa...RIP
  7. Baba Caren

    Uganda: Kiongozi wa Upinzani ashtakiwa kwenye Mahakama ya Kijeshi baada ya kukamatwa kinguvu akiwa Kenya

    Na Afrika huu ugonjwa na mkubwa sana haiwezekani kiongozi mkubwa kama yule anakamatwa nchi jirani kinyemela tu na mamlaka za Kenya zipo zinatazama tu.
  8. Baba Caren

    Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

    Huyu jamaa bhana akili ake sijui ameifyatika kwenye kishunduu...kweli unaweza sema Lisu anamtumia yy kama ngazi akati ushahid unaonyesha alikua dom
  9. Baba Caren

    TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

    Bwana ametoa na Bwana ametwaa...jina lake lihimidiwe
  10. Baba Caren

    Mwanafunzi wa Kidato cha 3 ahukumiwa kuchapwa viboko 12 kwa kumlawiti mwenzake

    Hiki kizazi ni changamoto inakuaje mtoto miaka 16 awe na tabia za kina P Didy
  11. Baba Caren

    Mwanafunzi wa Kidato cha 3 ahukumiwa kuchapwa viboko 12 kwa kumlawiti mwenzake

    Daaah hiki kizazi haki vile ni changamoto sana mtoto wa miaka 16 anakua na tabia za kina P Didy...
  12. Baba Caren

    Mahakama yamuamuru Sean ‘Diddy’ Combs kulipa Dola Milioni 100 kwa mwanaume aliyemshtaki kwa kumnyanyasa kingono

    Haa Hahaha inawezekana maana kijana toka arudi bongo hashikiki na kama alikwenda kwenye ghetto la jamaa...bhaaas kisamvu kilipakuliwa
  13. Baba Caren

    Vijana Wa Nigeria wafungwa Marekani kwa Uhalifu wa Mitandaoni

    Hawa jamaa bhana wanajifanya madem kuwa blackmail watu...wafungwe tu.
  14. Baba Caren

    Rais Kagame asema anafikiria kuanzia Kodi ya Makusanyo ya Kanisa kutokana na Utapeli unaofanywa na Viongozi wake

    Kwakweli hii kitu iletwe na huku kwetu wawe wanalipa kodi maana wanaingiza fedha nyingi sana.Wachungaji wetu wanaishi maisha ya anasa wanaibia waumini afu wanakuja kuturusha roho kwenye mitandao ya kijamii.
  15. Baba Caren

    SI KWELI Tundu Lissu akemea Wamasai wa Ngorongoro kudanganya

    Mbona kama serikali inatuma watu kuwachafua hawa vigogo wa chadema..
Back
Top Bottom