Baabkubwa Enterteinment, wazalishaji wa Jarida namba moja la burudani Tanzania, Baabkubwa Magazine. Inatazamia kuboresha news contents kwenye social medias na website yetu kwa kuajiri waandishi vijana wenye ubunifu na hamasa ya kufanya kazi kwa ajili ya kuboresha miradi ya habari inayoendeshwa...
Baabkubwa Enterteinment, wazalishaji wa Jarida namba moja la burudani Tanzania, Baabkubwa Magazine. Inatazamia kuboresha news contents kwa kuajiri waandishi vijana wenye ubunifu na hamasa ya kufanya kazi kwa ajili ya kuboresha miradi ya habari inayoendeshwa na kampuni yetu.
Tunatafuta vijana...
Tamasha la Matumaini lililoandaliwa na Global Publisher Limited kwa mwaka wa tatu mfululizo limefanyika siku ya jana ndani Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kuwavutia watu wengi kutokana na burudani mbalimbali zilizotolewa uwanjani hapo.
Hakika Watanzania wanapenda nchi yao na ni...
Katika kuonesha ukaribu na vijana na utayari wa kutoa msaada wa hali na mali, Mbunge wa Kigoma Kasikazini Mh Zitto Zuber Kabwe amemtungia mashairi msanii wa muziki wa Bongo fleva hapa Tzee Linex Sunday Mjeda, ambaye kwa sasa kitaa anahit na single ya Honga honga.
Ngoma aliyotungiwa na Mh...
Msanii wa muziki wa Bongo Flava Meniah Atick aka Meninah hivi karibuni ameachia Track yake mpya ya ‘Pipi Ya Kijiti' ni track inayozungumzia mapenzi na kuwapa somo wanaume, Akiongea kwenye cha E News' Meninah alifuguka hivi .
"Kwenye hii wimbo wangu mpya nimezungumzia wanaume waweze...
Ukianza kutaja female presenters hapa Bongo huwezi ukakosa kutaja jina la Tayana Tibenda, ambaye aliwahi kupiga mzigo Clouds Media Group, Times FM before hajasepa zake kuendesha her business katika mambo ya burudani.
Akiwa kama CEO wa ‘No Limits Entertainment' kampuni anayoshughulika na...
Baada ya kusimama tena kwenye game Rehema Chalamila aka Ray C ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kama ‘Milele', ‘Nimezama', ‘Uko Wapi' and as soon as possible she will be back again kwenye Bongo Flava.
Ray C alikuwa muadhirika wa madaya ya kulevya na kumpelekea kupotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.