Recent content by Ba Loreen

  1. B

    Underwater Hotel Room,

    Ndg usingiz? Insomnia tupu hapo
  2. B

    Underwater Hotel Room,

    hata ukienda na nanii nguvu kwishnei maana ni kama panya kuchezea mtegoni
  3. B

    Dawa salama ya kudhibiti michepuko hatimaye yapatikana

    A sex doll (also love doll or blow up doll ) is a type of sex toy in the size and shape of a sexual partner for aid in masturbation . The sex doll may consist of an entire body with face, or just a pelvic part, with the accessories ( vagina , anus, mouth , penis) for sexual stimulation. The...
  4. B

    Mines pay over Sh300billion in royalty

    bado ni hela ndogo sana hatuwezi kujivunia tunanufaika na madini.
  5. B

    Mahaba niue: Waaga dunia pamoja baada ya miaka 62 ya ndoa

    mbona hiyo cha mtoto? mimi huwa la aziz akiumwa tu nami naumwa. wakati mwingine akijisikia moodless kazini nami kwangu hivyo hivyo. siku hizi nikiwa nae nawaza kitu kumbe nae anawaza hicho hicho. Huwa nagundua hilo wakati naanza kulielezea jambo tunajikuta wote tunaanza maneno hayo hayo.
  6. B

    Aibu kwa mamlaka za ukaguzi/udhibiri taasisi za afya

    Nasikitika sana tena sana kwa taarifa ya Chuo cha Tiba IMTU kufungiwa na serikali jana eti kwa kukosa sifa za kimaabara na utabibu. Jamani haya yanaonekana mara tu baada ya kashfa ya kushindwa kuhifadhi au kuteketeza masalio ya miili ya kujifunzia wanafunzi? Kwa mantiki hii zipo idara na...
  7. B

    Itabidi tu nitumie,na Mungu anisamehe

    pole sana inaelekea ulighafilika. Hayo maamuzi huenda usingeyatenda leo. Nakuombea kwa Mungu pia
  8. B

    Mwisho wa dunia: Freemason watoa tamko

    technichally elezea kwanini eruptions and the like ziwepo. this is purely illusion. lets go on enjoying. NO CONTROL FOR GOD'S WISHES.
  9. B

    Itabidi tu nitumie,na Mungu anisamehe

    mwanao unamfananisha na jambazi anaevuruga maslqhi yako? kweli? kakosa nini
  10. B

    Itabidi tu nitumie,na Mungu anisamehe

    maelezo yako yote yanaonesha ubinafsi wako tu. mbona unajiangalia wewe tu na ha kudiriki kuua kwa maslahi yako. Je siku ukihitaji mtoto ukinyimwa? sioni sababu ya msingi.
  11. B

    RAIS/Serikali isiwabembeleze wapinzani, "ukimchekea mbwa ataingia hadi msikitini"

    umekufuru sana na kumdhalilisha sana mnyama mwema, mwema, mtiifu kwa bwana wake na mlinzi hodari kwa kumfananisha na na siasa au jengo la itikadi. Huyu mnyama kapewa hadhi kwa kuumbwa na Mungu na kupewa uhai. wewe utaishia kujenga majengo ya sura tofauti tu na sio uhai. Koma kabisa na badili...
  12. B

    Mambo ya Kariakoo mtaa wa Congo

    mwanzisha thread aliipata hiyo simu maeneo hayo..... tehe! hehe! Attract as many as possible.. mavuno street!
  13. B

    Yanayojiri bungeni leo tarehe 3 June, 2014: Makadirio ya bajeti Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

    Kazi kweli kweli. Emmanuel Didas wa upasuaji tata amesaidiwaje hadi sasa?
  14. B

    Tazama Obama alivyopagawisha watu bila kutegemea

    Cha ajabu ni nini. Hofu za kiubinadamu. Kama umewakosea watu wako lazima uhofu. Hata m/kiti wa mtaa atakuwa na hofu kwa wananchi wake endapo anaenda sivyo ndivyo
Back
Top Bottom