Recent content by Ba Bii

  1. Ba Bii

    Kwanini watu wenye asili ya Asia wanafanikiwa kibiashara zaidi na siyo sisi Watanzania?

    Habari wana JF Hivi umewahi kujiuliza swali kwamba kwa nini WAHINDI/WAARABU wanapoanzisha biashara zao hapa nchini zinafanikiwa zaidi yetu sisi watanzania na wakati nchi ni yetu na fursa ni zetu pia?
  2. Ba Bii

    Sijalipwa mshahara miezi 8 na mkataba sipewi napewa posho tu msaada jamani wapi nipeleke malalamiko?

    Kwani we we na muajiri wako mlikubaliana nn wakati unaanza kazi? Na je kuna mabadikiko yeyote yamejitokeza baada yako ww kuanza hiyo kazi? Kwa sababu unaweza ukalalamika kumbe mlikubaliana hivyo. Angalia kama unaona unafursa nyingine achana na hiyo kazi, kama huna namna vumilia hadi kieleweke...
  3. Ba Bii

    Natafuta vijana watano tufanye biashara

    Huna lolote ni usanii tu.
  4. Ba Bii

    Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Tafuteni kazi ya kufanya. Mtaja kufa na presha ya kusubiri ajira za ualimu....!
  5. Ba Bii

    Job opportunities at EWURA

    Sasa na wewe si ujitolee ili update kipaumbele!
  6. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Majibu sahihi sina. Nilichotaka ni kuomba msaada kutoka kwenu wanangu wapambanaji wenzangu. Na ndio maana nimeomba msaada wa mawazo kutoka kwenu. Ningekuwa na majibu nisingewafwata kuomba msaada wenu.
  7. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Nakuelewa sana mkuu!
  8. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Mh! Kwa vile wewe bado hujaanza kazi na hiyo company yako ya madini nenda kariport kwanza kwenye ualimu. Maana huwezi jua nn kitatokea usije kosa yote kwa kutaka yote.
  9. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Yaah! Nilianza dip ya Ualimu. Then nikajiendeleza accounts kwa taget ya kubadilisha career kutoka ualimu kwenda uhasibu. Na
  10. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Br. Mm nimesoma dip ya ualimu was secondary(Math/Geog) Then nikajiendeleza level ya degree ya BBA in Accounting. So nina qualification zote na pande zote niko vzr japo napenda zaidi Accounts than ualimu.
  11. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Endeleeni kunipa shauri mbalimbali then mwishoni nitaona ni upande gani umezidi. Then nitafanya maamuzi
  12. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Kaka mm nipo single. Matumizi yangu hata hiyo 500k haiishi, sinywi pombe wala sina madem. Ila nendelea kupata shauri mbalimbali then before 14 days kuisha nitakuwa nimepata jawabu.
  13. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Mimi ni Me. Nashukuru kwa ushauri wako
  14. Ba Bii

    Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

    Kaka hiyo 1.5 nimeanza nayo tu. Huko mbele mambo mazuri sana. Sio kwamba ni fixed salary. Noo baada ya probation nitapewa contract nyingine na salary nyingine
Back
Top Bottom