For me kuna browser inaitwa maxthone ni kali balaaa sifa zake
1. Multwindow maanake Unaweza kusign na na mtu ukishamaliza asione ulichokuwa unafanya
2. Kwangu mm sipendi matangazo hapa ndo komesho ya Ads zote hazitaonekana inablock juukwaju
3 iko simple sana sio nzito kwenye streaming life...
Asante mkuu kwa mada yako swafiii kabisa naomba kufaham mitandao ipi unatumia kupata vitabu maana natafuta vitabu vya mifungo ni adimu sana kupata Asante [emoji120]
Hot spot unasupply internet through Wi-Fi lakin tatizo lake haina spidi ukitumia smartphone kama modem inakuwa na spidi kubwa vile vile unaepuka kuwa na moden za kila mtandao
Habar wana teknohama, naomba mwenye ujuzi au ufahamu kuhusu app ambayo naweza kuinstall kwenye simu nikatumia kama modem kwenye computer ukiachana na mambo ya tethering na hot-spot ya simu, asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.