Greetings Sons and Daughters of the might God.
Happy Sabbath to you all.
I will be attending Sabath school at Arusha Central Church.
Tell us where you are now
Tell us where will you be attending your Sabath school tomorrow
God bless you.
Don't forget to read chapter 20:8 in the book of Exodus.
Marsabit, Kenya. Jeshi la Polisi nchini Kenya linamshikilia aliyekuwa mgombea kiti cha urais mwaka 2017, Jaffer Sora kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi kilo 445.
Sora alikamatwa leo June 20, katika mji wa Marsabit akiwa amehiifadhi bangi hiyo kwenye gari yake.
Kamanda wa...
Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania, Dk Hamis Kigwangalla ametoa siku saba kwa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) na Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori (Tawiri) kushauri njia bora kutumika eneo la Kwakatende ambalo ni maarufu mapito ya Nyambu katika hifadhi ya Taifa ya...
Rais wa Marekani, Donald Trump amefanya mkutano wake wa ufunguzi wa kampeni zake za uraia katika Jimbo la Orlando Jumamne ambapo Kamati Kuu ya Chama cha Republican (RNC) imesema amefanikiwa kukusanya Dola 25 milioni za Marekani (zaidi ya Sh55 bilioni).
Mwenyekiti wa kamati ya Republican...
Arusha. Wakati Chuo kikuu cha Mount Meru, kikiwa hatarini kutaifishwa na Benki ya Rasilimali (TIB) kama kikishindwa kulipa deni la Sh3 bilioni ilizokopa miaka mitatu iliyopita, umeibuka mgogoro wa umiliki wa chuo hicho.
Chuo hicho ambacho Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) imesitisha kudahili wanafunzi...
Kim is being mislead by his most trusted generals. He is being set up ,they want to remove his family from ruling DPRK. It's only a matter of time before things starts happening!
Even the mighty Saddam Hussein was deceived by his closest friends that his army was so powerfully and therefore...
Wadau nafahamu kuwa watu wanaendekea kujitokeza kwa mapenzi makubwa kuchangia matibabu ya T.L. Binafsi nafarijika kuona mshikamano na huruma kubwa kutoka kwa wadau mbalimbali walioguswa na hali ya T.L Aidha najua cdm wametoa account namba maalumu kwa ajili ya kupokea michango hiyo.
Najiuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.